KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,796
- 3,033
- Thread starter
- #61
Weka huo ushahidi wa wakulima kupewa pembejeo na hapo halmashauri.Kilichofanyika katika msimu wa kilimo ni kule kujiandikisha kwa ajili ya mbolea ya ruzuku kama ulivyokuwa mpango wa serikali kwa nchi nzima.Unabishana lete ushahidi mezani,nami ntaweka wa kwangu mezani, kwa hoja zangu zote nilizoorodheaha hapo. twende kwa numbers mkuu
Kitu kingine ilikuwa ni kutoa sumu ya kuua wadudu wahsribifu wa mazao ikiwemo panya,na sumu ililetwa na wahisani na iligawiwa karibu halmashauri zote za mkoa wa Morogoro.
Haya hicho kilochotolewa na halmashauri kama halmashauri ni kipi?.Kiweke hapa.