Kila siku kuna feelings zinanituma kuna kitu kiovu na kibaya mno (catastrophic) /so nefarious kimepangwa na soon kitatokea ,na si hii nchi tu ,ulimwengu mzima ,trends za yanayoendelea humu duniani ni smoke screen za watu kupoteza focus ya kutafakari mwenendo wa hii duniaGari nyingi zilizokuwa kwenye msafara, chakula vilikuja na hizo ndege.
Kwanini hadi sasa zipo kwa kweli hatujui, na kwanini hawajahamia Dodoma sijui, maana naona Ubalozi wa Ufaransa ndo kwanza wanaongeza fortification