condorezaraisi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 225
- 116
Wadau msaada wa malezi ..
Nina kabinti kangu kana miaka 4...naamini nimekuwa nakalea katika mienendo mizuri anapokosea namfundisha na kumwambia ukifanya hivi si vizuri mama baba pia mungu hapendi ..kwani shuleni kwenu mnafundishwa kukosea katasema sorry mamy
Kesho kanaweza kurudia kosa lile lile bado naendelea kumfundisha kwa upole nikiamini 4 years bado mdogo sana anahitaji mapenzi na muongozo..
Kimbembe kiko kwa baba yake..kama mjuavyo mtoto anaweza kuwa anakula mara kashika hiki mara kamwaga maji..mara anakula anataka amlishe na mdoli wake..
Baba yake unaweza kushangaa anakapa kibao tulia nimesema sitaki utundu au anakafokea kwa ukali sana jamani..
Jana kalikuwa kanacheza kanarukia huko mara kametoa vitambaa mezani baba yake akamchapa vibao nikiwa zangu jikoni .....mtoto alilia weee ananiambia mama dad mbaya kwanini ananipiga piga kila saa mie si mtoto eti mama? ,Masaa yakapita mtoto akanyamaza nikawa nimemtuma kwa baba yake chumbani kagoma kwenda kwa dady yake anasema mie siendi namuogopa dady mkali sana huku analia namwambia nenda kagoma...
Leo asubuhi namtuma tena kwa dad anasema no mamy dad atanichapa
Nikimzuia dad na kumwambia amfundishe kwa upole ananiambia namdekeza mtoto.
Roho unaniuma jamani ..ni mie ndo nakosea kumlea huyu binti??
Nina kabinti kangu kana miaka 4...naamini nimekuwa nakalea katika mienendo mizuri anapokosea namfundisha na kumwambia ukifanya hivi si vizuri mama baba pia mungu hapendi ..kwani shuleni kwenu mnafundishwa kukosea katasema sorry mamy
Kesho kanaweza kurudia kosa lile lile bado naendelea kumfundisha kwa upole nikiamini 4 years bado mdogo sana anahitaji mapenzi na muongozo..
Kimbembe kiko kwa baba yake..kama mjuavyo mtoto anaweza kuwa anakula mara kashika hiki mara kamwaga maji..mara anakula anataka amlishe na mdoli wake..
Baba yake unaweza kushangaa anakapa kibao tulia nimesema sitaki utundu au anakafokea kwa ukali sana jamani..
Jana kalikuwa kanacheza kanarukia huko mara kametoa vitambaa mezani baba yake akamchapa vibao nikiwa zangu jikoni .....mtoto alilia weee ananiambia mama dad mbaya kwanini ananipiga piga kila saa mie si mtoto eti mama? ,Masaa yakapita mtoto akanyamaza nikawa nimemtuma kwa baba yake chumbani kagoma kwenda kwa dady yake anasema mie siendi namuogopa dady mkali sana huku analia namwambia nenda kagoma...
Leo asubuhi namtuma tena kwa dad anasema no mamy dad atanichapa
Nikimzuia dad na kumwambia amfundishe kwa upole ananiambia namdekeza mtoto.
Roho unaniuma jamani ..ni mie ndo nakosea kumlea huyu binti??