Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Mara nyingi nimeona familia ambazo zina jiweza kiuchumi zinawalea watoto kama mayai vile kitu ambacho kwa mtazamo wangu nanona kama ni sio vizuri kwa sababu mtoto anakosa uelewa wa vitu vidogo vidogo vya "kidomestic"
Kwa mfano unakuta nyumbani kuna msaidizi wa kazi hgirl ambae anafanya kila kitu, kuosha vyombo, kufua kudeki, kupika na kadhalika. Watoto hawagusi chochote hata kama ni mtoto mwenyewe anataka labda kufua au kupika anakatazwa na kuambiwa nenda kasome. Kwa hiyo watoto kama hawa wanakuwa katika hali hoyo ya kujifunza domestic activities na pindi wanapokuja kujitegeme inakuwa issue. Kwa mtazamo wangu malezi kama haya sio sahihi, Mtoto ajifunze kupika, kufua, usafi wa ndani n.k kwa faida yake baadae.
Regards
Kwa mfano unakuta nyumbani kuna msaidizi wa kazi hgirl ambae anafanya kila kitu, kuosha vyombo, kufua kudeki, kupika na kadhalika. Watoto hawagusi chochote hata kama ni mtoto mwenyewe anataka labda kufua au kupika anakatazwa na kuambiwa nenda kasome. Kwa hiyo watoto kama hawa wanakuwa katika hali hoyo ya kujifunza domestic activities na pindi wanapokuja kujitegeme inakuwa issue. Kwa mtazamo wangu malezi kama haya sio sahihi, Mtoto ajifunze kupika, kufua, usafi wa ndani n.k kwa faida yake baadae.
Regards