kizazi kipya
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 327
- 62
Yusuph Makamba Katibu mkuu wa CCM amenishangaza.Ilikuwa wakati akihojiwa na waandishi wa habari katika maandalizi ya sherehe za kuzaliwa kwa CCM.Ni pale aliposema eti lengo kuu la CCM ni kushinda uchaguzi na kuchukua dola basi.Makamba hakugusia kama CCM ina lengo lolote la kubadili maisha ya mtanzania.Hilo halipo katika CCM.kweli CCM haitufai........tunapaswa kufanya kitu.