Wadau mie nna jiko la mafuta(wengne wanaita la mchina) nikizima tu moshi chumba kizima nimewahi kubadili tambi lakini bado hivi ni majiko yote au?
Wadau mie nna jiko la mafuta(wengne wanaita la mchina) nikizima tu moshi chumba kizima nimewahi kubadili tambi lakini bado hivi ni majiko yote au?
Nadhani mafuta
yanachangia
nimenunua gas
ajili nilichoka
sufuria zlikuwa
km napikia kuni!
Af kwanini wapikia ndani? Nyie ndo
tunakutana daladalani mnanuka
mafuta na mamoshi
ya mchina!
Nadhani mafuta
yanachangia
nimenunua gas
ajili nilichoka
sufuria zlikuwa
km napikia kuni!
Af kwanini wapikia ndani? Nyie ndo
tunakutana daladalani mnanuka
mafuta na mamoshi
ya mchina!
Wadau mie nna jiko la mafuta(wengne wanaita la mchina) nikizima tu moshi chumba kizima nimewahi kubadili tambi lakini bado hivi ni majiko yote au?
daladalani?mamoshi?bakita hawana maneno hayo katika kamusi ya kiswahili sanifu!
Unamuiga joseverestMengi ndivyo yalivyo..