wana jf hivi lini hospitali yetu ya muhimbili itakuja kuwa bora kwa huduma? Inasikitisha sana kuona watu wanapoteza maisha kwa ajiri tu yakukosa pesa kidogo ya kIpimo au que ya kumuona doctor.......viongozi wa muhimbili hamlioni hili suala au sababu watu wanaokufa sio ndugu zenu?