Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,467
Ndugu zangu mnajua fika rasmilimali pekee tulizonazo ambazo tungekuwa na viongozi wenye maono zingetutoa kwenye umasikini,Madini,mbuga (utalii),bahari & maziwa na bandari.
Taarifa zinaonesha Rais Mstafu Mkapa alibinafisisha Migodi ya madini ya dhahabu ya Mkoa wa Geita & Mara,Mgodi wa Almas-Shinyanga na mgodi ya makaa ya mawe kwa miaka 99.
Shukrani kwa Magufuli amejitahidi jitahidi kidogo kurekebisha baadhi ya bitu angalau kwa sasa tunapata Mara 4 ya kile ambacho tulikuwa tunakipata mwanzo kutoka kwenye madini kama mapato sijui kama kwenye miaka aliweza kubadili maana hii Nchi kila kitu ni siri.imagine madini yenu but mikataba yake na uendeshaji wake ni siri anazojua Rais na cabinet yake.
Rais Mwinyi na Kikwete wao pia wakaanza kucheza na maliasili zetu,wanyama walianza kusafirishwa kwenda Asia na Ulaya katika kipindi cha Mwinyi na kikwete mpaka twigs wakapanda ndege.tukumbuke huyu Kikwete amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Nishati katika kipindi cha Mwinyi na Mkapa.yani jamaa alihakikisha anatumia hizo fursa kutupiha vilivyo kuanzia huko kwenye nishati mpaka kwenye wanyama.
Ni kipindi cha Kikwete huyu huyu ndio uvuvi wa meli kuyoka Asia,zilikuwa zinabeba samaki wakubwa matani na matani na kupeleka ulaya na Asia.hapa napo angalau Magufulu alilekebisha angalau Watanzania tukaanza kula samaki wakubwa.
Sasa baada ya migodi,mbuga,bahari na maziwa kote kujaaa uwekezaji wa mkataba ya miaka na miaka.na kwenye nishati tayari makampuni yapo yanakula-tulicho bakiza ni kwenye bandari ndipo fedha zinaweza kupatikana watu wakapa percent Fulani.Jamani kweli unaenda kutoa mkataba usio na kikomo just kwa mtaji wa uwekezaji trillion 4???????? Kwa miaka 100??????
Hivi kwa nini hawa tunaowachagua kuwa Marais wetu,wanatuchezea namna hii na sisi tupo tu tumekunja Nne-Mwinyi,Mkapa,Kikwete wamebinifisha kila kitu na sasa Mh.SAMIA anaend kufanya yale Yale.
Taarifa zinaonesha Rais Mstafu Mkapa alibinafisisha Migodi ya madini ya dhahabu ya Mkoa wa Geita & Mara,Mgodi wa Almas-Shinyanga na mgodi ya makaa ya mawe kwa miaka 99.
Shukrani kwa Magufuli amejitahidi jitahidi kidogo kurekebisha baadhi ya bitu angalau kwa sasa tunapata Mara 4 ya kile ambacho tulikuwa tunakipata mwanzo kutoka kwenye madini kama mapato sijui kama kwenye miaka aliweza kubadili maana hii Nchi kila kitu ni siri.imagine madini yenu but mikataba yake na uendeshaji wake ni siri anazojua Rais na cabinet yake.
Rais Mwinyi na Kikwete wao pia wakaanza kucheza na maliasili zetu,wanyama walianza kusafirishwa kwenda Asia na Ulaya katika kipindi cha Mwinyi na kikwete mpaka twigs wakapanda ndege.tukumbuke huyu Kikwete amewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Nishati katika kipindi cha Mwinyi na Mkapa.yani jamaa alihakikisha anatumia hizo fursa kutupiha vilivyo kuanzia huko kwenye nishati mpaka kwenye wanyama.
Ni kipindi cha Kikwete huyu huyu ndio uvuvi wa meli kuyoka Asia,zilikuwa zinabeba samaki wakubwa matani na matani na kupeleka ulaya na Asia.hapa napo angalau Magufulu alilekebisha angalau Watanzania tukaanza kula samaki wakubwa.
Sasa baada ya migodi,mbuga,bahari na maziwa kote kujaaa uwekezaji wa mkataba ya miaka na miaka.na kwenye nishati tayari makampuni yapo yanakula-tulicho bakiza ni kwenye bandari ndipo fedha zinaweza kupatikana watu wakapa percent Fulani.Jamani kweli unaenda kutoa mkataba usio na kikomo just kwa mtaji wa uwekezaji trillion 4???????? Kwa miaka 100??????
Hivi kwa nini hawa tunaowachagua kuwa Marais wetu,wanatuchezea namna hii na sisi tupo tu tumekunja Nne-Mwinyi,Mkapa,Kikwete wamebinifisha kila kitu na sasa Mh.SAMIA anaend kufanya yale Yale.