Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

Sio kweli Ritz
Mkuu soma hii kiduchu kutoka BBC kisha takuwekea zingine.

Dr Julius Nyerere, who has died aged 77, led the former British protectorate of Tanganyika to independence in 1961, becoming its first prime Minister and later its first president.His country was withdrawn from British rule without violence and with comparatively little racial bitterness. Dr Nyerere acquired in the process the reputation of being a moderate, an idea that was encouraged by his personal modesty and his preference for Western values.





Teh teh teh
 
Chanzo cha jk kupewa uprofesa china. Ni baada ya kusaini mikataba 21 kwa dakika moja. Bila hata kuipitia means alijua kilichomo. Rais wa uchina akasitaajabu uwezo wa jk fasta akampatia uprooo
hahaaaaa kuna ukweli hapo
 
Kasome "Nyerere of Tanzania" cha William Edgett Smith (The American edition is "We Must Run While They Walk") uone jinsi gani Julius Nyerere alivyokataa kuitwa Dr. na kuagiza kwamba aitwe Mwalimu au Ndugu.

Watu walishaanza kumuita Mama Maria "Lady Nyerere" naye akakataa pia.

Ukiangalia sana "Professor" ni Mwalimu, na Nyerere tayari tulikuwa tunamwita "Mwalimu Nyerere", kwa hiyo alikuja Kiswahili zaidi.
 
Acheni kujazana ujinga Nyerere wakati wa utawala wake walikuwa wanamuandika Dr.Julius Kambarage Nyerere na yeye alikubali wala hakukataa.

Mkuu waandishi wenyewe si kutoka Pwani? Ama umesahau? Ni yale yale!
 
Mkuu waandishi wenyewe si kutoka Pwani? Ama umesahau? Ni yale yale!
Mkuu huyo mwandishi aliondika hiyo habari alikuwa anamuita Nyerere Dr ni James Robbins wa BBC.

Sijui kama anatoka pwani labda Pwani ya Bristol Uingereza.

Nadhani umejifunza kitu.
 
Nyerere alikuwa na msururu wa majina aliyokuwa akiitwa sana, kama vile mchonga, haambiliki, kifimbo...

Majina hayo yalitokana na hali ya kiuchumi na kisiasa ya wakati wake.
 
Nyerere alitunukiwa Shahada nyingi za Heshima tena kuzidi hata hizi anazopewa Kikwete lakini hakupenda kujikweza nazo kwani yeye aliheshimu sana kile alichokisomea kuliko hivyo bandia

Hapa chini nakuwekea Orodha ya nini Nyerere (R.I.P) alipata

Mwalimu Julius K. Nyerere alitunukiwa shada zaidi ya 20 lakini hakujiita Dr Julius Nyerere,

Unaweza kujionea mtiririko Shahada za PHd alizotunukiwa Mwalimu Julius Nyerere hapa chini:

MWALIMU JULIUS NYERERE He received honorary degrees from the following:

1. University of Edinburgh (United Kingdom)

2. University of Dugueshe (United States of America)

3. Cairo University (Egypt)

4. University of Nsukka (Nigeria)

5. University of Ibadan (Nigeria)

6. University of Monrovia (Liberia)

7. Toronto University (Canada)

8. Havard University (United States of America)

9. Howard University (United States of America)

10. Ljubliana (Yugoslavia) - Honorary Doctoral of Law (26 March 1985)

11. Pyongyang University (Korea) -Honorary Doctorate of Philosophy (28th March 1985)

12. National University of Lesotho (Lesotho)

13. The State House Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree for Diplomacy (20th Sept, 1985)

14. Havana University of Cuba (Cuba) - Honorary Degree of Doctor Of Philosophy (30th Sept 1985)

15. University of Dar es Salaam (Tanzania) - Honorary Degree of Literature Honoris Causa (13th Sept 1986)

16. Universities of Philippines (Philippines) - Honorary Doctorate of Humanities (12th July 1991)

17. Manila (Philippines) - Honorary Doctor Degree (12th October 1992)

18. Makerere University Kampala (Uganda) - Honorary Doctor of Laws (29th January 1993)

19. Open University of Tanzania (Tanzania) - Doctor of Letters Honoris Causa (15th March 1997)

20. Claremont University Centre (United States of America) - Doctor of Laws for Claremont graduate School California (17th May 1997)

21. Sokoine University of Agriculture (Tanzania) - Doctor of Philosophy Honoris Causa (28th November 1997)

22. University of Fort Hare (South Africa) - Doctor of Laws Honoris Causa (23rd April 1998)

23. Lincoln University (United States of America) - Honorary Degree of Laws (5th May 1998)

Awards / Prices

1. Yogoslavia - Memorial Plaque of the City of Belgrade (15th October 1969)

2. Guyana - Freedom of the City of Georgetown (11th September 1974)

3. Havana, Cuba - Order of Jose Marti (21st September 1974)

4. Mexico - The Great Collar of the Aztec Eagle (24th April 1975)

5. India - Nehru Award for International Understanding (17th January 1976)

6. Guinea Bissau - Medal of Amilcar Cabral (19th September 1976)

7. Brussels - The Dag Hammarskjold Price for Universal Merit

8. New Delhi, India - Third World Prize (22nd February 1982)

9. Maputo, Mozambique - Eduardo Mondlane Medal (7th September 1983)

10. Geneva - Nansen Medal for Services to the Cause of Refugees (3rd October 1983).

11. Luanda, Angola - Order of Augstino Neto Award (3rd October 1985)

12. Luanda Angola - SADCC Sir Seretse Khama Medal (21 August 1986)

13. Dodoma, Tanzania - Lenin Peace Prize (7th September 1987)

14. Dodoma, Tanzania - Juliot Curie Gold Medal (February 1988)

15. Paris, France - UNESCO Simon Boliver Prize (21st October 1992)

16. Arusha, Tanzania - TANAPA /Gold Medal of Outstanding on Wildlife and Environmental Conservation (21st February 1994)

17. New, Delhi, India - Gandhi Peace Prize (27th January 1995)

18. Abujua, Nigeria - Nnandi Azikiwe Award (10th March 1996)

19. Harvard University - World Map Globe (28th December 1999)

20. CCM, Tanzania - The Century Statesman (2000)

usiisahau hii tafadhali.
21. vatican.. kumpa heshima ya mwenye heri na mtakatifu
 
Nyerere alikuwa na msururu wa majina aliyokuwa akiitwa sana, kama vile mchonga, haambiliki, kifimbo...

Majina hayo yalitokana na hali ya kiuchumi na kisiasa ya wakati wake.
Na wewe nadhani una akili timamu tu. Unaweza kutofautisha kati ya mjinga na mpumbavu?
 
Kasome "Nyerere of Tanzania" cha William Edgett Smith (The American edition is "We Must Run While They Walk") uone jinsi gani Julius Nyerere alivyokataa kuitwa Dr. na kuagiza kwamba aitwe Mwalimu au Ndugu.

Watu walishaanza kumuita Mama Maria "Lady Nyerere" naye akakataa pia.

Ukiangalia sana "Professor" ni Mwalimu, na Nyerere tayari tulikuwa tunamwita "Mwalimu Nyerere", kwa hiyo alikuja Kiswahili zaidi.
Kiranga,
Thank you. You are always there at the right time. Kamwelimishe Ritz anajaribu kupotosha hapa.
 
Inawezekana umri wenu ni mdogo Nyerere mbona alikuwa anaandikwa Prof wakati wa utawala wake.
Hapana. Kasome tena bandiko la Kiranga. Nyerere hajawahi kuitwa profesa hata siku moja. Daima tulikuwa tunamwita Mwalimu. Msijaribu kuandika upya historia wakati sisi tuliokuwepo bado tupo.
 
Chanzo cha jk kupewa uprofesa china. Ni baada ya kusaini mikataba 21 kwa dakika moja. Bila hata kuipitia means alijua kilichomo. Rais wa uchina akasitaajabu uwezo wa jk fasta akampatia uprooo

Nimecheka sana
 
Sio kweli Ritz
Ritz anajaribu kuandika historia upya. Lakini hawawezi. Wamejaribu kuua legacy ya Mwalimu leo inawasuta. Wametafuta vyeo kila mahali duniani eti Dr. eti Profesa, eti mheshimiwa lakini bado hawafikii level ya Mwalimu. Kikwete will go down in history as the worst president Tanzania ever had. It is sad.
 
Angepata ndugu yangu Wa msoga zingeandikwa mpaka kwenye majabali

Katika maisha yangu hadi sasa kitu kimojawapo ambacho kimenishangaza sana ni kuona watu wasiostaili vyeo au sifa, kujipachika sifa hizo, wakati wanaostaili wakiwa wamekaa kimya bila kuvikurupukia.
 
Pamoja na kwamba hakuwa akiitwa sana "Professor" Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimtunuku Uprofessor wa Siasa (Professor of Political Science), ieleweke siyo Honorary Professor bali ni the real Professorial title ya kitaaluma.

Kama huamini, fanya research Chuo Kikuu cha DSM
 
Ritz

Huyo mwandisho amemwita Dr. Nyerere akiwa anatoa wasifu wa mwalimu tayari akiwa ni marehemu. Hakumwita katika uhai wake. Hivyo sioni bado mantiki ya hoja yako.

Kikwete Dr. Imelazimishwa na inner circle ya ccm kuwa ni lazima jina lake liane na utambuisho wa Dkt. Ili aonekane ni msomi wa level hiyo. Lkn pia udaktari wake ulitengenezwa kisiasa ndio maana alienda kupewa Udom chuo ambacho kilikuwa hakijatoa hata phd moja ya darasani.
 
Back
Top Bottom