KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimejaribu kuchunguza mara nyingi nimekuja kugundua kunatatizo katika kizazi hiki cha leo,
Moja ya tatizo lililopo nikutokomaa kwa ndoa za sasa kutokana na wengi wao ndoa zao kuvunjika kabla ya umri!je tatizo linaanzia wapi??je ni kwa wanawake au kwa wanaume??au ni wanawake wameendekeza masilahi binafsi pasipo kuangalia umuhimu wakuwa na mume?
Moja ya tatizo lililopo nikutokomaa kwa ndoa za sasa kutokana na wengi wao ndoa zao kuvunjika kabla ya umri!je tatizo linaanzia wapi??je ni kwa wanawake au kwa wanaume??au ni wanawake wameendekeza masilahi binafsi pasipo kuangalia umuhimu wakuwa na mume?