wote wavaao milegezo ni midebwedo
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100
wengine huiga..
Ila maana yake ni Mashoga..
Mtindo huu ulianzia marekani katika
majela mtu akipiga mlegezo
hafanyiwi vurugu ili kubakwa,just maongezi hufanyika.
Hii inaenda sambamba na kutoboa sikio kama ni
la kushoto maana yake we hugongwa tu.
kama la kulia maana yake we hugonga tu.
kama ni yote......
Duh.... umenifanya nicheke sana, yaani kila miaka inavyosonga mbele, ndiyo 'uchizi' wa kuzidi kuitelemsha hiyo suruali ndiyo unaongezeka.