Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Cement kwa sasa haikamatiki na inaendelea kuapanda bei tuko busy kuangalia kuungwa mkono za juhudi za wanaohama vyama ila hata vyombo vya habari "front fade" zimejaa umbea ila maisha ya watu wako kimyaaa.
Nadhani ipo siku atajulikana mbaya wetu ni nani ndio taifa litaamka naona mda huu tumelala usingizi wa pono.
Viwanda vya dangote, twiga na nyati vimefungwa kwa kisingizio wanachotoa serikali ya viwanda kuwa wanafanya maintainance na wengine tatizo la mikataba eti gesi hawampi.
Mnakumbuka sukari tangu ipande haijawai shuka
Nadhani ipo siku atajulikana mbaya wetu ni nani ndio taifa litaamka naona mda huu tumelala usingizi wa pono.
Viwanda vya dangote, twiga na nyati vimefungwa kwa kisingizio wanachotoa serikali ya viwanda kuwa wanafanya maintainance na wengine tatizo la mikataba eti gesi hawampi.
Mnakumbuka sukari tangu ipande haijawai shuka