Hivi kuna watu kiafya huwa hawaruhusiwi kupanda ndege mara kwa mara?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,022
144,379
Naomba kujua kama kuna watu hushauriwa na madaktari wasipande ndege mara kwa mara au kusafiri na flight za masafa marefu bila kutua na kupumzika kwa muda(non-stop flight).

Kwa yoyote aliepanda ndege bila shaka atakuwa na experience ya usafiri wa ndege hasa wakati wa kupaa na kutua ukiachana na turbulence zinazotokea ikiwa hewani kutegemeana na hali ya hewa au ndege ikipita katika mawingu mazito (Cumulonimbus Cloud).

Nauliza swali hili kwsababu fulani fulani ambazo sio lazima niziweke hapa.
 
Mi sio mtaharm kivile ila idea ninayo kidogo. Kwa wagonjwa waliofanyiwa operashen nakuwekewa viungo vya bandia hasa wanawake wanaowekewa matiti na makalio huwa hwaruhusiwi kupanda ndege hasa zire za masafa marefu.

Hii hutokana na vile viungo vilivyowekwa ambavyo ni bandia vimetwengenezwa kutumika katika standard air density. Sasa zile ndege ziendazo masafa marefu hupita anga za juu sana ambapo air density ni tofaut. Sasa wale wenye viungo bandia huteseka sana.
 
Mi sio mtaharm kivile ila idea ninayo kidogo. Kwa wagonjwa waliofanyiwa operashen nakuwekewa viungo vya bandia hasa wanawake wanaowekewa matiti na makalio huwa hwaruhusiwi kupanda ndege hasa zire za masafa marefu.

Hii hutokana na vile viungo vilivyowekwa ambavyo ni bandia vimetwengenezwa kutumika katika standard air density. Sasa zile ndege ziendazo masafa marefu hupita anga za juu sana ambapo air density ni tofaut. Sasa wale wenye viungo bandia huteseka sana.
Hata wenye mioyo ya betri mkuu?
 
Naomba kujua kama kuna watu hushauriwa na madaktari wasipande ndege mara kwa mara au kusafiri na flight za masafa marefu bila kutua na kupumzika kwa muda(non-stop flight).

Kwa yoyote aliepanda ndege bila shaka atakuwa na experience ya usafiri wa ndege hasa wakati wa kupaa na kutua ukiachana na turbulence zinazotokea ikiwa hewani kutegemeana na hali ya hewa au ndege ikipita katika mawingu mazito (Cumulonimbus Cloud).

Nauliza swali hili kwsababu fulani fulani ambazo sio lazima niziweke hapa.
Mkuu Salary Sleep, mimi ni mmoja wapo, nimefungiwa kifaa kinachoitwa pain implant, kiko kama pace maker za wagonjwa wa moyo, kifaa hicho ni cha chuma, hutumia nguvu ya elecromagnetic kukiendesha, ukipita kwenye mazingira yoyote yenye high electric currency, au au high voltage, umeme mkubwa, unaproduce, electromagnetic waves ambazo zinaweza kuingiliana na hiyo implant, hivyo unashauriwa kuepuka kupanda lift, na badala yake utumie ngazi, ukipita kwenye zile metal detectors zinapiga kelele.

Watu wote wenye metal implants pia wamepewa medical card, ili kuonyesha kwenye security check points. Vifaa hivi havina tatizo lolote kusafiri navyo kwenye ndege, ila tahadhari ni kwa ndege za safari za masafa marefu, likitokea tatizo angani mwanzo wa safari, hakuna medical attention kwenye ndege ku reset hiyo pacemaker, hivyo kama tahadhari tuu kama za mwanamke mja mzito, usisafiri safari za masafa marefu sana!.

Na sio tuu safari za masafa marefu, hata raundi, unashauriwa usiende raundi nyingi!.

Zaidi ya hapo hakuna tatizo lolote!.

Pasco
 
Mkuu Salary Sleep, mimi ni mmoja wapo, nimefungiwa kifaa kinachoitwa pain implant, kiko kama pace maker za wagonjwa wa moyo, kifaa hicho ni cha chuma, hutumia nguvu ya elecromagnetic kukiendesha, ukipita kwenye mazingira yoyote yenye high electric currency, au au high voltage, umeme mkubwa, unaproduce, electromagnetic waves ambazo zinaweza kuingiliana na hiyo implant, hivyo unashauriwa kuepuka kupanda lift, na badala yake utumie ngazi, ukipita kwenye zile metal detectors zinapiga kelele.

Watu wote wenye metal implants pia wamepewa medical card, ili kuonyesha kwenye security check points. Vifaa hivi havina tatizo lolote kusafiri navyo kwenye ndege, ila tahadhari ni kwa ndege za safari za masafa marefu, likitokea tatizo angani mwanzo wa safari, hakuna medical attention kwenye ndege ku reset hiyo pacemaker, hivyo kama tahadhari tuu kama za mwanamke mja mzito, usisafiri safari za masafa marefu sana!.

Na sio tuu safari za masafa marefu, hata raundi, unashauriwa usiende raundi nyingi!.

Zaidi ya hapo hakuna tatizo lolote!.

Pasco
Asante sana mkuu.Naendelea kupata majibu.
 
Wagonjwa wa SICKLE CELLS DISEASES, coz Cells zao hazina uwezo wa kutengeneza damu na ikakaa kwa mda unaotakiwa,Na ukiwa kwenye ndege kadri iendapo hewani (kupaa anga) Hewa ya Oxygen huwa inapungua!
 
Nawakumbuka viongozi wakuu wa Korea Kaskazini comrade Kim Il Sung na mwanae Kim Il Jong walikuwa wameshauriwa kwa sababu za kiafya pamoja na acrophobia wasipande ndege. Na vilevile kuna watu ambao kutokana na hali zao za afya (binge flying) wanatakiwa kupanda ndege mara kwa mara ili kuboresha afya zao.
 
Nawakumbuka viongozi wakuu wa Korea Kaskazini comrade Kim Il Sung na mwanae Kim Il Jong walikuwa wameshauriwa kwa sababu za kiafya pamoja na acrophobia wasipande ndege. Na vilevile kuna watu ambao kutokana na hali zao za afya (binge flying) wanatakiwa kupanda ndege mara kwa mara ili kuboresha afya zao.
Ugonjwa mwingine ni Neema
 
Nawakumbuka viongozi wakuu wa Korea Kaskazini comrade Kim Il Sung na mwanae Kim Il Jong walikuwa wameshauriwa kwa sababu za kiafya pamoja na acrophobia wasipande ndege. Na vilevile kuna watu ambao kutokana na hali zao za afya (binge flying) wanatakiwa kupanda ndege mara kwa mara ili kuboresha afya zao.
Mama Mdogo, eti kuboresha afya kwa kupanda ndege mara kwa mara? Sijakuelewa. Naomba ufafanuzi zaidi tafadhali.
 
Mkuu Salary Sleep, mimi ni mmoja wapo, nimefungiwa kifaa kinachoitwa pain implant, kiko kama pace maker za wagonjwa wa moyo, kifaa hicho ni cha chuma, hutumia nguvu ya elecromagnetic kukiendesha, ukipita kwenye mazingira yoyote yenye high electric currency, au au high voltage, umeme mkubwa, unaproduce, electromagnetic waves ambazo zinaweza kuingiliana na hiyo implant, hivyo unashauriwa kuepuka kupanda lift, na badala yake utumie ngazi, ukipita kwenye zile metal detectors zinapiga kelele.

Watu wote wenye metal implants pia wamepewa medical card, ili kuonyesha kwenye security check points. Vifaa hivi havina tatizo lolote kusafiri navyo kwenye ndege, ila tahadhari ni kwa ndege za safari za masafa marefu, likitokea tatizo angani mwanzo wa safari, hakuna medical attention kwenye ndege ku reset hiyo pacemaker, hivyo kama tahadhari tuu kama za mwanamke mja mzito, usisafiri safari za masafa marefu sana!.

Na sio tuu safari za masafa marefu, hata raundi, unashauriwa usiende raundi nyingi!.

Zaidi ya hapo hakuna tatizo lolote!.

Pasco


Hapo kwenye raundi na wadada wa siku hizi si kusaidiwa nje nje?
 
Mi sio mtaharm kivile ila idea ninayo kidogo. Kwa wagonjwa waliofanyiwa operashen nakuwekewa viungo vya bandia hasa wanawake wanaowekewa matiti na makalio huwa hwaruhusiwi kupanda ndege hasa zire za masafa marefu.

Hii hutokana na vile viungo vilivyowekwa ambavyo ni bandia vimetwengenezwa kutumika katika standard air density. Sasa zile ndege ziendazo masafa marefu hupita anga za juu sana ambapo air density ni tofaut. Sasa wale wenye viungo bandia huteseka sana.
kweli wewe siyo mtaharam ila mtaalamu kidogoo
 
Hata mambo ya kawaida kama ujauzito yanaweza kuwa kikwazo cha kusafiri umbali mrefu kwa ndege. Endapo anakutana na daktari kabla hajasafiri, Mama mjamzito anaweza kuwa kwenye state ya kushauriwa kutochukua flight kv premature labor inaweza kutokea! Hivyo basi, hapa utapata tu maelezo ya jumla kama haya lakini unachotakiwa ni kwamba; yeyote ahusikae, akutane na daktari physically kisha amchunguze kujiridhisha ikiwa anaweza kusafiri umbali mrefu kwa ndege.
 
Mkuu Salary Sleep, mimi ni mmoja wapo, nimefungiwa kifaa kinachoitwa pain implant, kiko kama pace maker za wagonjwa wa moyo, kifaa hicho ni cha chuma, hutumia nguvu ya elecromagnetic kukiendesha, ukipita kwenye mazingira yoyote yenye high electric currency, au au high voltage, umeme mkubwa, unaproduce, electromagnetic waves ambazo zinaweza kuingiliana na hiyo implant, hivyo unashauriwa kuepuka kupanda lift, na badala yake utumie ngazi, ukipita kwenye zile metal detectors zinapiga kelele.

Watu wote wenye metal implants pia wamepewa medical card, ili kuonyesha kwenye security check points. Vifaa hivi havina tatizo lolote kusafiri navyo kwenye ndege, ila tahadhari ni kwa ndege za safari za masafa marefu, likitokea tatizo angani mwanzo wa safari, hakuna medical attention kwenye ndege ku reset hiyo pacemaker, hivyo kama tahadhari tuu kama za mwanamke mja mzito, usisafiri safari za masafa marefu sana!.

Na sio tuu safari za masafa marefu, hata raundi, unashauriwa usiende raundi nyingi!.

Zaidi ya hapo hakuna tatizo lolote!.

Pasco
Pain implant kinawekwa kwenye sehemu gani ya mwili? Na kuna hospitali nchini zinazoweka hivyo vifaa?
 
Back
Top Bottom