Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
- Thread starter
- #41
unataka kutoa umesahau ulivyo hapa kwamba utamlinda hivyo pete inaonesha kiapo chako kwake.
Kiapo chasaidia nini mkuu ikiwa moyoni nawaza kucheat? kipi bora kuacha kuvaa pete na moyoni niwe na mapenzi ya dhati na kweli kwa mke wangu, au nivae pete na kuiweka mfukoni wakati naenda kumcheat mke wangu?