MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
-TPA:
Hapa watu walipiga pesa mpaka billion 1 inaandaa sherehe ya Siku 1.
-TANESCO:
Hapa siongei sana kila mtu hata Mtoto mdogo anajua.
-TPDC:
Hapa mishahara ya watumishi na Posho ukisikia utatamani kuihama nchi.
-TTCL:
Binafsi mpaka sasa sijui Lina kazi au faida gani kwa umma.
-UDA:
Hili hata nasikia juzi juzi bwana mkubwa mmoja kauliza "Nani mmiliki wa hili shirika? Watu kigugumizi!
Hapa watu walipiga pesa mpaka billion 1 inaandaa sherehe ya Siku 1.
-TANESCO:
Hapa siongei sana kila mtu hata Mtoto mdogo anajua.
-TPDC:
Hapa mishahara ya watumishi na Posho ukisikia utatamani kuihama nchi.
-TTCL:
Binafsi mpaka sasa sijui Lina kazi au faida gani kwa umma.
-UDA:
Hili hata nasikia juzi juzi bwana mkubwa mmoja kauliza "Nani mmiliki wa hili shirika? Watu kigugumizi!