Mkuu hebu mjaribu tiGo atakuwa na uzoefu kwenye kuangalia online Ushauri huu ni ""kwa hisani ya watu wa Marekani
mkuu Ras inaonyesha hukai Tz ....au ungelikwisha jua Hisani ya watu wa Marekani inahusiana vipi na ndoa za watu wa Tanzania .....:usa2::usa2:
Ni kweli unachosema Mkuu lakini tatizo ni kuwa awali alikuwa akifika kilele mapema na bila shida sasa hivi kufika hiyo kilele anadai anafika kwa shida nadhani ni hisia ziakuwa upande huo zaidi!! nadhani wanielewa hapo?
Nashukuru sana Man nimekusoma!...naam, nimekuelewa vizuri tu. Kwanza naomba nikuhakikishie 'msukosuko' huu wewe si wa mwanzo kukumbwa nao. Asilimia kubwa ya wana ndoa yeshatukumba, ndio maana kila kukicha kwenye jukwaa hili zinazuka topics mpya jinsi ndoa zinavyoyumba.
Mapenzi yalipokuwa motomoto, kuna mambo fulani fulani mlikuwa mnafanyiana, na haswa wewe kwa upande wako ndio unapaswa hasa kujiuliza nini hufanyi kiasi kwamba mwenzako hasisimkwi ki vile. Wengi walikwisha zungumza siku za nyuma kwamba sex is a psychological thing. Matayarisho ya kiakili yanasaidia sana mwili ku relax na kufurahia tendo hilo.
La mwisho ninalokusihi, unapoongea na mkeo jitahidi usimlaumu unapoona hafurahishwi na tendo la ndoa. Hata yeye huenda anatamani hali ingekuwa kama zamani. Huenda naye yupo kwenye dilema na kujiuliza maswali mengi kama ulivyojitolea wewe kuulizia hapa kiasi cha yeye kuchungulia Porn Movies.
Kinyume na hapo, athari zake ni kubwa na za muda mrefu kuliko hatua za haraka unazoweza zichukua wewe binafsi kumhakikishia kwamba hali hiyo ni ya mpito tu.
Nyote mpo kwenye njia za kutafuta suluhisho, Goodluck!
Ni kweli uongeacho Gaijin, sipo Tanzania so bado kabisa sijaelewa hiyo maana ya huo usemi. Kwa sasa nipo nje ya nchi. So naomba kama hutojali nifafanulie huu usemi! TAFADHARI.mkuu Ras inaonyesha hukai Tz ....au ungelikwisha jua Hisani ya watu wa Marekani inahusiana vipi na ndoa za watu wa Tanzania .....:usa2::usa2:
nASHUKURU KWA USHAURI mKUU, SIJUI KAMA NARUHUSIWA KUIPOST HIYO LINK HAPA!! LAKINI KAMA NAKOSEA NAOMBA MNIWIE RADHI wANA jf. LINK YENYEWE NI HII SEX OASIS -...Mkuu,
kwanza hizo links anazokutumia ulishawahi kuzipitia na kuangalia zote?
Kuna ujumbe mkeo anakutumia, na kwa maana nyingine ningeweza sema anashindwa jinsi ya kukuambia moja kwa moja. Labda ungepost hizo links hapa, pengine wadau wangeweza "kukusomea" message unayotumiwa.
Cha msingi ni kwamba, porn sio kitu kizuri sana, me binanfi sitafurahi mpenzi/mke wangu anitumie hizo links.
Lakini, jua kwamba, kama kuna kitu mkeo anataka na huumpi, basi atatafuta mtu wa kumpa, au pengine kuna mtu anampa, sasa roho inamsuta anataka aachane na huyo jamaa, lakini anataka akimwacha aendelee kukipata kwako.
Kitendo cha mkeo kuchelewa kufika kileleni inawezekana ile raha imepungua, pengine angependa ufanye kitu fulani na hapo hufika kileleni haraka.
Me nisingekushauri ufanye huu mchezo. Ila, kwa upande mwingine jaribu kumgusia uone atasemaje. Ili ujue kama hua anafanya au lah!
Huu mchezo mwanamke au mwanaume akiuzoea ni vigumu kuacha, na inawezekana mkeo anataka pia, hivyo anashindwa kuugulia na kubaki kusononeka, mwishowe kuchelewa kileleni.
Mgusie, kama ameanza huo mchezo, wahi kwa wataalamu wa afya mara moja upate kujua cha kufanya!
Hii ndo hali halisi mzee!
nASHUKURU KWA USHAURI mKUU, SIJUI KAMA NARUHUSIWA KUIPOST HIYO LINK HAPA!! LAKINI KAMA NAKOSEA NAOMBA MNIWIE RADHI wANA jf. LINK YENYEWE NI HII SEX OASIS -....
Samahani mzee shemeji anapenda tiGo ukimchelewesha usilaumu uncle Masanilo amekushauri kupitia kwa hisani ya watu wa Marekani
nASHUKURU KWA USHAURI mKUU, SIJUI KAMA NARUHUSIWA KUIPOST HIYO LINK HAPA!! LAKINI KAMA NAKOSEA NAOMBA MNIWIE RADHI wANA jf. LINK YENYEWE NI HII SEX OASIS - ...
Ntafurahi kuiona Gaijin! labda itanisaidia kujua nini maana ya huo usemi naona inakuwa ngumu kwenu kuniambia!Masa naona hata hizo link za wife wa Ras zimekuja kwa hisani ya watu wa Marekani! Sidhani Kama za Tanzania.
Babu na Ras hamkuiona ile thread ilokuwa ikillalama kuwa hadi matangazo ya ushauri wa ndoa 'ni kwa hisani ya watu wa marekani'!???!
Labda ipo YouTube ngoja niwasakie
Nimejaribu kukaa naye na kuzungumza kwa undani kuhusu athari za hili jambo na nini anataka kwa kufanya hivo. Anasema amenielewa kuhusu madhara na hiyo link yenyewe aliipata ni juzi tu hapa. Anasema lengo lake yeye ni kujifunza jinsi ya kufanya sex vile kama unakumbuka nilisema nilimkuta akiwa kigori (ofkoz nimemfundisha sex act). Ameahidi kutoifungua tena hiyo web na za aina yake, ila kaniomba kama nina sites ambazo ni za kufundisha hayo mambo kimaadili na zinazolenga familia na si biashara ya ngono nimpe.OMBI KWENU: Kama kuna yeyote anayezijua site hizo naomba msaada ound:.Imebidi nifunge milango nicheki hizo links, tena kwa privacy session lol!
Hapo Ras ongea vizuri na mwenzio. Hata mimi napata wasiwasi. Jaribu kutumia akili zaidi kuliko hisia uokoe jahazi la ndoa. La sivyo utakuwa njia panda muda si mrefu!
Una uhakika hakuna ka mchezo mkeo ameanza hivi karibuni? Embu fanyia kazi. If possible, utupe majibu hapa jamvini!
Ras...... Huko ughaibuni watu hawaoni tabu kuzungumzia tendo la ndoa..... Utamsikia mnugu 'my baby likes to eat me' Kisha anaendelea analiwa vipi !
Sasa Kama mkeo anaenda kazini au ana marafiki huko lzm atakuwa anaathiriwa na maneno Kama hayo hasa vile yeye mgeni kwenye shughuli, labda ana umri mdogo pia na labda hajajua Namna ya kukabiliana na watu wanaomhadithia kuhusu sex life zao.
Mimi naona Ras hujakijua kiini cha tatizo na Kama ni kweli amekuwa influenced na maneno ya marafiki kwenye hili atakuwa mwepesi wa kuwa influenced na mengine yenye athari kubwa zaidi.
Abiria chunga mzigo wako!
Mkuu hebu mjaribu tiGo atakuwa na uzoefu kwenye kuangalia online Ushauri huu ni ""kwa hisani ya watu wa Marekani ""
Mkuu hebu mjaribu tiGo atakuwa na uzoefu kwenye kuangalia online Ushauri huu ni ""kwa hisani ya watu wa Marekani ""