zile mbili za kwanza mbona zilikuja fresh inamaana kuna watu ambao sio wazalendo waliwashtua wanaotudai kuwaambia kuwa tuna ndege canada waikamate na nadhani atakuwa yule yule aliyekuwa anaomba data kwa mwanyika wa acacia maana yeye furaha yake kuona jpm ana fail halafu ajabu na yeye anaishi humu humu bongo nchi ikiharibika tupo wote hila mungu ametupa jpm naamini tutafika ataruka vikwazo vyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.