yegomwamba
Member
- Dec 31, 2009
- 92
- 1
Wana JF naomba michango yenu.utakuta mwanamme akitaka kuopoa demu(kifaa) ataanza kumlaghai kuwa yeye anafanya kazi tra na ukweli ni kwamba huyo bwana ni mbeba mizigo bandarini(kuli).Kwa kufanya hivyo demu hujiingiza mzimamzima.Nilishuhudia taflani moja huko mabibo pale demu alipokuja kubaini kuwa katoa mzigo kwa mbeba mizigo na wala si mfanyakazi wa tra.Demu alianza kupiga kelele ohoo ulinidanganya kuwa wewe ni afisa wa tra nikakukubalia ukanimega kumbe si lolote na si chochote,kuanzia leo sitaki kukuona tena.