fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Well, kitu cha kwanza kabisa she married you...afu lile tunda lake anakupa wewe tu.
Mengine ni lazima muwe mnagombana gombana, mana kwenye ndoa kama hakuna ugomvi ugomvi basi hampendani.
Ukiona mtu na mke wamekaa mwaka mzima bila kugombana, ujuwe wana matatizo hao ya kiakili.
Hakuna maisha mazuri kama ya kugombana gombana na mke wako.
Aisay mke wangu kama hajakasirika mda wa mwezi lazima nianzishe vita ya aina yoyote mpaa nione kakasirika :biggrin:
Mengine ni lazima muwe mnagombana gombana, mana kwenye ndoa kama hakuna ugomvi ugomvi basi hampendani.
Ukiona mtu na mke wamekaa mwaka mzima bila kugombana, ujuwe wana matatizo hao ya kiakili.
Hakuna maisha mazuri kama ya kugombana gombana na mke wako.
Aisay mke wangu kama hajakasirika mda wa mwezi lazima nianzishe vita ya aina yoyote mpaa nione kakasirika :biggrin: