Kwa mara ya kwanza ktk historia ya vikao vya nec ya ccm,maoni ya EL na wote waliomfatia yalikuwa yakisikika kila kona ya nchi na dunia kwa ujumla hii ni kutokana na kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano.
Upo ushahidi usiotia shaka kwamba baadhi ya wahariri ktk vyumba vya habari walijua neno kwa neno alilolisema lowasa kuliko mwandishi aliyepo ktk jengo kunakofanyika kikao.
Sasa nauliza haya yote wakati yanatokea usalama wa chama upo wapi? Au nao wamehongwa au kupangwa ili kumdhalilisha mwenyekiti? Ipo siku hivyo vikao vya maadili vitarushwa 1 kwa 1 tusubiri.
Source(mayage s mayage)mwanahalisi
Upo ushahidi usiotia shaka kwamba baadhi ya wahariri ktk vyumba vya habari walijua neno kwa neno alilolisema lowasa kuliko mwandishi aliyepo ktk jengo kunakofanyika kikao.
Sasa nauliza haya yote wakati yanatokea usalama wa chama upo wapi? Au nao wamehongwa au kupangwa ili kumdhalilisha mwenyekiti? Ipo siku hivyo vikao vya maadili vitarushwa 1 kwa 1 tusubiri.
Source(mayage s mayage)mwanahalisi