Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,046
- 54,336
Hapo SasaKwani Zanzibar kushawahi kuwa na rais mkristo?
Hapo SasaKwani Zanzibar kushawahi kuwa na rais mkristo?
Subiri nikamuulize RutoZanzibar ni sawa ni kwa sababu asilimia zaidi ya 90 ni waislamu, kenya je!!
Matakoooooooo😾Scientific reasoning ni ya wewe na watu wenyu.
Any one?, Uliza Jaluo, Kisii, na mijikenda watakuambia ukweli. Kenya is for Kikuyu and Kalenjins onlyAnyone can become president of republic of kenya
Sasa mkuu.....Scientific reasoning ni ya wewe na watu wenyu.
🤣🤣Subiri nikamuulize Ruto
Islam ni minority,Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.
Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
Sasa mkuu.....
Wewe unaona ni sahihi mtu mliemchagua mkaamini ana ubongo wa kuwasaidia kupata solutions ya matatizo yenu,then kila saa anakaa kuimba some gibberish words from an ancient book called bible badala ya kuleta tangible solutions?
Wewe unadhani kutafuta solution ya matatizo tunatumia reasoning ya matakoni mwako?
Ruto aache upumbavu wa kujificha kwenye pazia la Christianity kuficha his incompetencies,alete ubongo hapa afute matatizo sio blah blah
Hoja zinapoisha hua viongozi wajinga hupenda kukimbilia dini
Toeni ushenzi wenu nyie wavaa kobazi..upuuzi wenu nendeni nao huko zanz na tanzaniaa...wachana na kenya yetu!Hakika umenitangulia kupost,mwenyewe apa nilifungua jukwaa ili niandike mawazo yangu lakini nimekutana na thread yako tayari.
Mbaya zaidi sherehe/hafla za kitaifa zinapambwa na taratibu za dini ya kikirsto pekee mf,siku ya kutangaza matokeo ya urais na Leo pia siku ya Kula kiapo huko ni kuligawa taifa.Muda so mrefu udini unaenda kulitafuna Hilo Taifa na pia rais mteule anaonekana wazi wazi kabisa kwamba atakua mdini wa kweli.
Who said that and where is it written. Ata hizo kabila zingine zinaweza ongoza kenya, ile kitu wanatakiwa kufanya ni kuwa na ushirikiano mwema na hizi kabila mbiliAny one?, Uliza Jaluo, Kisii, na mijikenda watakuambia ukweli. Kenya is for Kikuyu and Kalenjins only
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
That's your view. Wanaweza ongoza kenya. Ile kitu wanatakiwa kufanya ni kuwa na ushirikiano mwema na kabila hizi mbiliOnly for Kikuyu and kalenjini
Hii in tofauti na Zanzibar?
Waislamu Kenya ni minority Kama 15%,hilo la kugawanya nchi haliwezi kutokea mkuu
zanzibar wakiristo ni 1% tofautisha 1% na 15%
Mwarabu hakuleta dini, dini ulikuwepo kabla mwarabuKenya waislamu hawazidi 10% ya population.
Uislam kwa kenya uliishia mikoa ya pwani tu ambayo ni michache sana. Tofauti na Tanzania uislamu umefika mpaka bara kama tabora etc sababu ya misafara ya biashara ya waarabu.
Pia sio kenya tu. Ni ngumu sana muislamu kushika urais Hata wa nchi jirani zingine kama rwanda, burundi, congo, zambia, malawi, uganda sababu mwarabu hakufika kwa wakati, wakati analeta dini
Mwarabu hakuleta dini, dini ulikuwepo kabla mwarabu