Hivi Kenya ni Nchi ya Dini ya Kikristo?

Waafrika ni wabaguzi sana na hatuwezi kubadilika
Akitokea hata Waziri tu tofauti na wao basi atasemwa sana na watachonga sana kwa roho mbaya za Ubaguzi

Kwa PM kuwa mtu mwingine zaidi ya Muzungu ni ngumu sana hata Rishi alijua hilo
Ila watakuwa mawaziri tu lakini sisi hata uimbe wimbo wa Taifa na umezaliwa hapo bado utaitwa asili yako tu why

Je mnajua kuwa kuna nchi 11 za Latin America zina marais au zilikuwa na marais wenye asili ya Kiarabu?

Na walienda huko babu zao kama wafanyabiashara na kwa hela zao waliingia siasa na kufika walipo na wazawa wakawakubali
Guyana mpaka Argentine na kwingine

Ila sisi hata dini hakuna maana dini zinakataza ubaguzi
 
Scientific reasoning ni ya wewe na watu wenyu.
Sasa mkuu.....

Wewe unaona ni sahihi mtu mliemchagua mkaamini ana ubongo wa kuwasaidia kupata solutions ya matatizo yenu,then kila saa anakaa kuimba some gibberish words from an ancient book called bible badala ya kuleta tangible solutions?

Wewe unadhani kutafuta solution ya matatizo tunatumia reasoning ya matakoni mwako?

Ruto aache upumbavu wa kujificha kwenye pazia la Christianity kuficha his incompetencies,alete ubongo hapa afute matatizo sio blah blah

Hoja zinapoisha hua viongozi wajinga hupenda kukimbilia dini
 
Hilo ndio swali huwa najiuliza maana mda mwingi wana entertain mambo ya dini ya kikristo na kuwatenga Waislamu.

Kwa nini iko hivyo? Kama Wajaluo wamepigwa chini Urais, kwa Waislamu si ndiyo itakuwa haiwezekani kabisa?
Islam ni minority,
Anzia bongo,hv Zenj hakuna wakristo!?maana serikali hupanga mpaka bajeti ya kupeleka wazee wa suruali fupi hija.
 
Sasa mkuu.....

Wewe unaona ni sahihi mtu mliemchagua mkaamini ana ubongo wa kuwasaidia kupata solutions ya matatizo yenu,then kila saa anakaa kuimba some gibberish words from an ancient book called bible badala ya kuleta tangible solutions?

Wewe unadhani kutafuta solution ya matatizo tunatumia reasoning ya matakoni mwako?

Ruto aache upumbavu wa kujificha kwenye pazia la Christianity kuficha his incompetencies,alete ubongo hapa afute matatizo sio blah blah

Hoja zinapoisha hua viongozi wajinga hupenda kukimbilia dini

Hiyo ni Filosofia yake na tulimchagua kwasababu ya filosofia yake. Wengi wape. Wewe na usomi wako wa pesa nane ngoja umchague kiongozi wako wa usomi wa pesa nane. Si demokrasia hiyo?
 
Hakika umenitangulia kupost,mwenyewe apa nilifungua jukwaa ili niandike mawazo yangu lakini nimekutana na thread yako tayari.

Mbaya zaidi sherehe/hafla za kitaifa zinapambwa na taratibu za dini ya kikirsto pekee mf,siku ya kutangaza matokeo ya urais na Leo pia siku ya Kula kiapo huko ni kuligawa taifa.Muda so mrefu udini unaenda kulitafuna Hilo Taifa na pia rais mteule anaonekana wazi wazi kabisa kwamba atakua mdini wa kweli.
Toeni ushenzi wenu nyie wavaa kobazi..upuuzi wenu nendeni nao huko zanz na tanzaniaa...wachana na kenya yetu!
 
Kenya is a Christian Nation, and no one will ever change that. Like it or not that who they are.
 
zanzibar wakiristo ni 1% tofautisha 1% na 15%

Marekani black wapo 30 % , ila katika marais wa marekani zaidi ya 50 black katokea mara moja tu obama. Tena sio pure black bali half cast.

Pia waislam marekani ni wengi ila bado hakujawahi kuwa na rais muislam USA katika hao marais zaidi ya 50 waliopita Us
 
Kenya waislamu hawazidi 10% ya population.

Uislam kwa kenya uliishia mikoa ya pwani tu ambayo ni michache sana. Tofauti na Tanzania uislamu umefika mpaka bara kama tabora etc sababu ya misafara ya biashara ya waarabu.

Pia sio kenya tu. Ni ngumu sana muislamu kushika urais Hata wa nchi jirani zingine kama rwanda, burundi, congo, zambia, malawi, uganda sababu mwarabu hakufika kwa wakati, wakati analeta dini
Mwarabu hakuleta dini, dini ulikuwepo kabla mwarabu
 
Back
Top Bottom