Nimejaribu kutafakari sana, tena kwa kina, Nionacho mimi, ni CCM kupinga kuandikwa kwa katiba mpya Tanzania. CCM ndio wanaojaribu hata kushawishi watanzania wasiolelewa katiba wasiunge mkono uandikwaji wa katiba mpya. Mswada waliouandaa kwa kweli ni aibu kubwa kwa wasomi wa CCM na waziri wa Katiba na sheria, angekuwa mama yangu ningegoma kula mpaka ajiuzulu. Mheshimiwa wa Propaganda, Tambwe hiza asababisha madudu kwenye Publoic Hearing!
Swali langu, ikiwa CCM wataendelea na roho hii ngumu ya kutowajali watanzania ambao sasa wanaamka, nini kitatokea? Wananchi tufanye nini kwa sasa? Naombeni mawazo yenu waungwana.
Swali langu, ikiwa CCM wataendelea na roho hii ngumu ya kutowajali watanzania ambao sasa wanaamka, nini kitatokea? Wananchi tufanye nini kwa sasa? Naombeni mawazo yenu waungwana.