Hivi kama kuna fingerprint ni muhimu kuwa na signature?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Nauliza wataalamu wa mambo. Hivi kwa ulimwengu wa sasa wa kutumia smart card. Ambazo ndani zinakuwa na information nyingi za muhusika ikiwamo fingerprint. Je nini maana ya kuwa na signature?

Sasa hivi technology ipo juu sana tofauti na kipindi cha nyuma. Mpaka blood group zinakuwa ndani ya kadi.

Ni swali tu kwawenye uelewa.
 
mbona fingerprints ni signature....au unaongelea signature zipi?
Taarifa kuhusu vitamburisho havina signature. Nilikuwa nawaza tu kwa uelewa. Maana kuna watu mpaka sasa hawajui kusoma na kuandika. Sijui watawekaje signature kwa maandishi. Lakini smart cards huwa ndani zina store fingerprint the muhusika na taarifa zingine

Hii ni kwa kujifunza tu.
 
Taarifa kuhusu vitamburisho havina signature. Nilikuwa nawaza tu kwa uelewa. Maana kuna watu mpaka sasa hawajui kusoma na kuandika. Sijui watawekaje signature kwa maandishi. Lakini smart cards huwa ndani zina store fingerprint the muhusika na taarifa zingine

Hii ni kwa kujifunza tu.
vitambulisho vya utaifa?
 
Kuna watu wanashindwa kujihoji kwa nini vyeti vyao vya kuzakiwa kwa nini havina signature zao Kutokuwa na signature siyo shda hata fingerprint ni signature
 
Anna fingerprint hapa unamaanisha vitu viwili. Kunba kuchukuliwa fingerprint ikawekwa ndani ya system hiyo moja. Lakini ili itambulike kuwa ni wewe basi inabidi iwepo fingerprint kwenye kitambulisho au Signature(sasa hivo vitambulisho pale juu hakuna fingerprint ya kuwa matched na ya kwenye system wala Signature) Kwa argument yako ni kuwa hata kwa vile ndani ya system wameandika jina basi hata kwenye kitambulisho lisiwepo.
 
ha ha ha inabidi uwaze zaidi ya hapo

signature ni identity, unatakwa watu wakienda bank wamulikwe fingerprint zao? so kila mahali kuwe na sensor za kujua fingerrint yako?

sura, jina na tarehe za kuzaliwa za nini sasa, si abebe blank ID??
 
Swala ni kwa nini vile vya NEC vina sahihi Na vimestore fingerprint lakini vilitumia garama ndogo na kupatikana kwa watu wengi?
 
Swala ni kwa nini vile vya NEC vina sahihi Na vimestore fingerprint lakini vilitumia garama ndogo na kupatikana kwa watu wengi?
Mimi nina dhani kuna plastic card na kuna smart card. Nahisi vichinjio ni plastic card. Kwa uelewa tu
 
Taarifa kuhusu vitamburisho havina signature. Nilikuwa nawaza tu kwa uelewa. Maana kuna watu mpaka sasa hawajui kusoma na kuandika. Sijui watawekaje signature kwa maandishi. Lakini smart cards huwa ndani zina store fingerprint the muhusika na taarifa zingine

Hii ni kwa kujifunza tu.
nimesikia hazina bar codes (mi sina) figure prints utazi access vipi na vile vitambulisho havina bar code?????? viko ki manual zaidi...ki analogia...
 
Nauliza wataalamu wa mambo. Hivi kwa ulimwengu wa sasa wa kutumia smart card. Ambazo ndani zinakuwa na information nyingi za muhusika ikiwamo fingerprint. Je nini maana ya kuwa na signature?

Sasa hivi technology ipo juu sana tofauti na kipindi cha nyuma. Mpaka blood group zinakuwa ndani ya kadi.

Ni swali tu kwawenye uelewa.
Signature za kalamu zinaondoka kwenye mzunguko lakini bado ni muhimu hasa kwenye uhakiki wa wewe kama sio robot
 
nimesikia hazina bar codes (mi sina) figure prints utazi access vipi na vile vitambulisho havina bar code?????? viko ki manual zaidi...ki analogia...
Mimi ninacho, na yes, hakina bar code, na nimekuwa nijiuliza hivyohivyo, kwamba hizo information zangu zinakuwa accessed vipi kwenye hiki kitambulisho.
 
Kitambulisho cha Taifa ni more advanced na ni smart card. Kuna card reader ambazo zitakuwa sehemu zote nyeti kama polisi, benki, kwenye mipaka na sehemu zote ambazo vitatakiwa kutumika. Ukikisahau we kariri namba ya kitambulisho chako inatosha. Nadhani NIDA shida hawakutoa elimu ndo maana Hata Mag kaingia kichwa kichwa
 
MAGUFULI ni wa kukurupuka! Huwa hazipitii vyema taarifa anazoletewa na wapambe wake!
 
Nahisi kuna tatizo flani kwenye taarifa sahihi kwa head master
Sasa huyo headmaster yeye hana kichwa cha kuchanganua mambo? Au ni ule utaratibu wa kukurupuka kama huna head? Mshauri huyo headmaster wako atumie washauri kabla hajaropoka hadharani, anajiaibisha namna hiyo!
 
hicho cha utaifa sina kwanza,ila hakitofautiani na vingine nadhani
Mimi ninacho havifanani....cha Taifa fomu yake unajaza personal particulars nyingi kuliko cha kura ila kwenye printed ID Cha kura kiko.detailed and self explanatory.
 
Back
Top Bottom