Dkt. Gwajima D
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 611
- 4,035
Salaam nyingi za upendo kwenu.
Wazazi na Walezi, tunapoelekea kwenye siku ya familia duniani tarehe 15 Mei, 2024, tafadhali tuanze ukurasa mpya wa kuwa karibu zaidi na watoto wetu. Zawadi iliyo bora zaidi kwa mtoto wako kwenye nyakati za Dunia ya leo, ni kuwa karibu naye, tena karibu zaidi.
Kila mzazi na mlezi aombe Neema ya kuwa karibu Sana na mtoto/watoto wake.
NAOMBA Sana mnisikilize hapa kwenye hii video fupi Sana, ukisikiliza ombi langu kwani ni umpe na mwingine asikilize tafadhali🙏🏽
Ni katika kupata taarifa ndiyo tunaweza kupanga hatua zetu thabiti, maana tumepata Neema ya kufahamu.
Nawatakia Heri ya Siku ya Familia Duniani, 2024. 🙏🏽
=======
Dkt. Gwajima: Wazazi au walezi wengi wanagundua watoto wao wamefanyiwa ukatili mwingi kwa kuchelewa, kwasababu hawakujenga tabia ya kuwa karibu na watoto, karibu na wanafamilia.
Watoto wanabakwa, watoto wanalawitiwa mara nyingi tu lakini wanafamilia wanakuwa hawajui. Hii ni matokeo ya wanafamilia kuwa na tabia kuzungumza.
Hivyo tunavyokwenda kwenye siku hii ya kimataifa ya familia duniani tarehe 15 May 2024, ndugu wazazi, walezi, ndugu wanafamilia tukubali tofauti zetu kuimarisha malezi ya watoto kwenye familia na haya yote yatatokea tu endapo tutakuwa na utaratibu wa kuzungumza.
Wazazi na Walezi, tunapoelekea kwenye siku ya familia duniani tarehe 15 Mei, 2024, tafadhali tuanze ukurasa mpya wa kuwa karibu zaidi na watoto wetu. Zawadi iliyo bora zaidi kwa mtoto wako kwenye nyakati za Dunia ya leo, ni kuwa karibu naye, tena karibu zaidi.
Kila mzazi na mlezi aombe Neema ya kuwa karibu Sana na mtoto/watoto wake.
NAOMBA Sana mnisikilize hapa kwenye hii video fupi Sana, ukisikiliza ombi langu kwani ni umpe na mwingine asikilize tafadhali🙏🏽
Ni katika kupata taarifa ndiyo tunaweza kupanga hatua zetu thabiti, maana tumepata Neema ya kufahamu.
Nawatakia Heri ya Siku ya Familia Duniani, 2024. 🙏🏽
=======
Dkt. Gwajima: Wazazi au walezi wengi wanagundua watoto wao wamefanyiwa ukatili mwingi kwa kuchelewa, kwasababu hawakujenga tabia ya kuwa karibu na watoto, karibu na wanafamilia.
Watoto wanabakwa, watoto wanalawitiwa mara nyingi tu lakini wanafamilia wanakuwa hawajui. Hii ni matokeo ya wanafamilia kuwa na tabia kuzungumza.
Hivyo tunavyokwenda kwenye siku hii ya kimataifa ya familia duniani tarehe 15 May 2024, ndugu wazazi, walezi, ndugu wanafamilia tukubali tofauti zetu kuimarisha malezi ya watoto kwenye familia na haya yote yatatokea tu endapo tutakuwa na utaratibu wa kuzungumza.