- Thread starter
- #21
Ukiona kimya watt wa mjin wanakusaidia kulea
inawezeka maana na yy Liverpool in blood humwambii ktu kuhusu hyo tm!
Ukiona kimya watt wa mjin wanakusaidia kulea
Hapo kwenye rangi umetumia maneno muafaka maana si Wanaume wote wana tabia kama za huyu wa kwako bali baadhi ya Wanaume. Pole sana.
Kama ana penzi la kweli haiwezekani kukata muda wote huo ilhali mko jiji moja bila kuonana. Tafakari kisha ufanye maamuzi mazito.
Inawezekana.Punguza hofu.
mmh! hapo kuna walakini..akufukuzae hakuambii toka, shtukaaaaa!!
haya maamuzi ni ngumu kuyachukua kuliko kuyaandika!!aendelee kuvuta subira kwa yavuta heri!!!
ngojangoja yaumiza matumbo , dalili ya mvua mawingu, hakuna penzi hapo
ngojangoja yaumiza matumbo , dalili ya mvua mawingu, hakuna penzi hapo
asubirie li-surprise la kufa mtu!!
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
habar, hv kwel Jaman inawezakawa usionane na mpenzi wako takrban mwez na siku kadhaa kwel na sio mtu waubusy kiivyo, japo mawasiliano yapo pale pale but spending time ni zero na haikuwa hivyo... mm ni lady!
Kama kakaa kimya , wewe kaa kimyaaaaa mara mbili yake, akipiga simu usipokee, akiandika sms usijibu , atakutafuta mwenyewe. Ila Muungwana akivuliwa nguo hasimami huchutama kuficha aibu yake. Inawezekana katika pitapita ukamkuta sehemu kakaa na kadem kengine, jikaze na usianzishe vurugu endelea na zako na wala usipige kelele kufaidisha wengine. ( kama Utaweza, maana huwa inauma sana)
Ukiona manyoya ujue kaliwa,chunguza kuna mtu anakusaidia kazi.
je wewe huwa unamtafuta,na kama ukimtafuta huwa anajibu vipi maana tusijepiga kelele hapa kumbe ni mfumo wenu wa maisha.yan mji mmoja kwel Jaman kaah baadh ya wanaume ni nouma! na anaweza jua npo town na yy Yupo town hata kuntafuta jama. just hi! mnaumiza baadh yenu.kaaah...
wachakuchukua ushaurimoja kwa moja hivyo unaposhauriwa na wewe tafiti kupitia huo ushauri maana waweza kasirika na kuchukua maamuzi kumbe unamuumiza mwenzio.ila jaribu kukaa kimya sana ukiona hakuna jibu kutakuwa na tatizo hapo nakuombea amani ya moyo.nmeishaaaa uuuuwiiii