St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Hivi kuna JF member hata mmoja aliyewahi kuliona jini kwa macho yake na akaweza kupiga picha?Swali hili likijibiwa labda naweza kuchangia..
iasee huyo ni macho tu , uyo ni chaurembo na urembo ni macho - majini hayapo ivi
si mtu huyu
Hivi kuna JF member hata mmoja aliyewahi kuliona jini kwa macho yake na akaweza kupiga picha?Swali hili likijibiwa labda naweza kuchangia..
Miwatu hoovyo.. Mibaba mizima kazi kusodoa Picha ya Rehman .. Mwaya waskuzingue ..
Si majini pekee, hata binadamu wapo wenye sura nzuri. Huyu ni mka mwana wa mfalme wa Saudia -- nakumbuka nilisoma mahali.
Unapenda kufunua eeehh???niliona jana povu lilivo kutoka kene pic ya rihana! huna aibu ww dah!!
Embu nenda chit chat ukaanzishe thread kuhusu hili swala maybe watajitokeza ambao wameshawahi kumuona jini.
sasa mbona unaniaibisha mkuu. usimwage mchele kwenye kuku wengi.
haya bana nimerudi kivingine kwa jina hili..!!jiandae kukuzingua!
Nilishakupata Tbag hatari kabla hata hujajitambulisha.
@Young_Master Huy ni binadamu ni mtoto wa Kiarabu na wapo Majini wazuri kuliko binadamu lakini wana wivu sana majini wa kike huwezi kuishi naye wewe binadamu Wivu wake anaweza hata kukuuwa sio mchezo ukimpata jini mwanamke atakupa raha sana ila hutamuweza kuishi nae kwa sababu ya wivu wake ni mkubwa sana.
ha ha ha ha ha ha !! basi usiseme kwa nguvu akina mods watasikia wai compile..nimechoka na ban aixee saivi ni mtoto mzuri! na nimeokoka!!! :lol:
MziziMkavu Embu niambie jinsi ya kumpata huyo jini mwanamke.@Young_Master Huy ni binadamu ni mtoto wa Kiarabu na wapo Majini wazuri kuliko binadamu lakini wana wivu sana majini wa kike huwezi kuishi naye wewe binadamu Wivu wake anaweza hata kukuuwa sio mchezo ukimpata jini mwanamke atakupa raha sana ila hutamuweza kuishi nae kwa sababu ya wivu wake ni mkubwa sana.
Haya bwana.
Wewe unamwonaje? kabla hatujakujibu useme kwanza
Mkuu kwani jini mzuri sana enh? ushwahi kumwona au kuwaona majini wangapi? au huwa unawaona? tupigie picha basi utuwekee ili tuweze kujibu hoja yako.