PAMBA1
Member
- Sep 13, 2011
- 55
- 26
kuna huyu kijana nilimsoma kwenye mtanzania ya jumapili anitwa richard luhende eti anakuja kufanya mageuzi uvccm nikawa najiuliza maswali mengi bila majibu huyu kijana alikuwa wapi kufanya hayo mageuzi mpaka aone kumenuka ndo ajitokeze kutaka kufanya mageuzi au tayari naye keshachochewa na magamba wenzake na je anatumiwa na nani huyu gamba tumshugulikie wana jf.