Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Ninaamini hili suala lishajadiliwa hapa, ila sijawahi kuona thread yake. Na pia ninaamini nilitakiwa niliweke kwenye jukwaa la Dini ila bahati mbaya nikifungua naambiwa sina permission ya kuaccess hiyo page.
Ninachotaka kujua hivi huu ujasiri wa Waislamu kuwatukana Wakristo kwenye hiyo mihadhara tena usiku wakati watu wamepumzika majumbani mwao na wakiwa wameweka vipaza sauti vinavyosikika kila mahali unatoka wapi hasa ? Inamaana vyombo vya usalama havioni kwamba hili ni jambo linalohatarisha sana usalama wa Taifa ?
Ninachotaka kujua hivi huu ujasiri wa Waislamu kuwatukana Wakristo kwenye hiyo mihadhara tena usiku wakati watu wamepumzika majumbani mwao na wakiwa wameweka vipaza sauti vinavyosikika kila mahali unatoka wapi hasa ? Inamaana vyombo vya usalama havioni kwamba hili ni jambo linalohatarisha sana usalama wa Taifa ?