danhoport
JF-Expert Member
- May 20, 2020
- 1,607
- 3,195
Wana JF wenzangu poleni/ongereni kwa majukumu ya hapa na pale tushichoke kupambana.
Kuna huu msemo "fanya kazi kwa bidii utafanikiwa" naona kwangu mimi upo tofauti kabisa, kwanza naombeni mnieleweshe ni kazi zipi za kuajiliwa au za kujiajili mwenyewe ndio za kupaswa kufanywa kwa bidii ili ufanikiwe maana isije kuwa hii kazi ninayofanya haihiitaji ubidii wowote ndio maana sijafanikiwa mpaka hivi sasa licha ya kuifanya kwa miaka 8.
Au labda kazi ni sahihi ila boss niliyekuwa nae ndio sio sahihi?
Kuna huu msemo "fanya kazi kwa bidii utafanikiwa" naona kwangu mimi upo tofauti kabisa, kwanza naombeni mnieleweshe ni kazi zipi za kuajiliwa au za kujiajili mwenyewe ndio za kupaswa kufanywa kwa bidii ili ufanikiwe maana isije kuwa hii kazi ninayofanya haihiitaji ubidii wowote ndio maana sijafanikiwa mpaka hivi sasa licha ya kuifanya kwa miaka 8.
Au labda kazi ni sahihi ila boss niliyekuwa nae ndio sio sahihi?