Heshima mbele wakuu!!jaman,kwa wale mliopitia vyuo vikuu naomba mnisaidie kwa hili,hvi hzi couple tunazoziona huku vyuon,huwa znaendelea kuwepo baada ya wahusika kugraduate au ni just mbwembwe tu na kurushana roho huku vyuoni?
​nyingi huwa ni kupotezeana muda tu
Wengine hatujafika huko koleji
hata zle za primary bac.
Heshima mbele wakuu!!jaman,kwa wale mliopitia vyuo vikuu naomba mnisaidie kwa hili,hvi hzi couple tunazoziona huku vyuon,huwa znaendelea kuwepo baada ya wahusika kugraduate au ni just mbwembwe tu na kurushana roho huku vyuoni?
Dah!kuna couple moja nadhan inasoma pande za CASS,yan daily nakutana nayo pale hall 7,wanaonekana wanapendana sana,sa cjui kama nao after college ndo watamwagana au vp?