UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,605
Watu sio waelewa wakati hata sie tunaongea hichi kiswahili ila kina makosa kibao na hatujui kama ni makosa ila kwenye kiingereza ndio tumekariri mi grammar hatari.Unaona sasa unafikiri ukiwa unaongea lazima ufuate grammar? Kweli hujaelimika nafikiri ukielimika utajua kuwa lugha ya kuongea hawafuati grammar mkuu kama unavyofundishwa darasani