Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Kumbu kumu zangu zinasema mwenye mamlaka ya kumuweka mtu ndani kisheria ni Dc au RC.
Sijajua Prof hiyo amri inalindwa na sheria gani? Wajuzi wa sharia najua mpo wengi umu JF, jamanani nielewesheni.
 
Profesa Nguli kabisa Prop Ndalichako, wewe unataka kusema nini..

Mama anapiga kazi balaa, Mama anapiga ung'eng'e balaa mpaka watu wanaona wivu humu. Elimu ya Tanzania imekua kwa kasi toka huyu mama amekapata wizara, Heko Dr JPM kwa kumuona huyu mama na kumpa wizara.
Wewe na yeye '' wote Manzi ga nyanza!!!''
 
Kumbu kumu zangu zinasema mwenye mamlaka ya kumuweka mtu ndani kisheria ni Dc au RC.
Sijajua Prof hiyo amri inalindwa na sheria gani? Wajuzi wa sharia najua mpo wengi umu JF, jamanani nielewesheni.
Aaaa!!ahah ahaa!🤣🤣🤣 Sikiliza vizuri Bana kasema hivi '' you are going to stay inside untill......'' Siyo custody wala P/ rock up, wewe umeitafsiri ki-bongo-bongo zaidi yaani ile ya Ma DC '' weka ndani huyu!!!'' huyu anaweza ku stay hata inside the house, Car.
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Professor anashindwa kutamka 150m kwa kingereza unaona ni sawa tu kwako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna problem, kama huioni una matatizo. Professor ni Mwalimu aliyeobea kwenye fani yake kwa tafiti na machapisho. Hata kama anajuwa mathematics kama unavyodai, ameshindwa kuongea sentensi nyepesi sana za Kiingereza. Very pathetic, na huyu ndiye Waziri mwenye dhamana ya Elimu nchini.

Kweli hizi ndiyo degrii za chupi zimefika hadi kuwa Waziri
 
Huyu mbona kasoma Canada, alighafirika tu, hatamie ukiniboa huwa nafoka kisukuma nachanganya na kiitaliano siunajua kazi za barabara zimetuathiri
Nini kusoma Canada? Mbona nchi za USA na Canada ndiyo zinaongoza duniani kwa Diploma Mills zile alizozitaja Msemakweli kwenye kitabu chake cha Degree fake. Hakuna Mtanzania aliyewahi kwenda USA au Canada aka disco. Ukienda Canada utarudi na degree tu. Huyu ni zao la degree za chupi za UDSM.
 
Huyu ndalichako ana kakiingereza kakavu sana!

Hiyo aina ya Kiingereza anaongea mtoto wa form two anayejifunza sarufi.

If a PhD holder's linguistic competence is equivalent to that of a form two student, then you know how big the problem really is.

Nimekutana na maprofesa na wakufunzi wengi na wazuri mno wenye umahiri mkubwa wa lugha zote mbili humu humu Tanzania.

Hivyo, sidhani kama ni tatizo la "mfumo" wa elimu [entirely].

Huyu mama ni kilaza tu katika personal capacity yake mwenyewe (na ni waziri wa elimu?).



Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu imagine huyu mama mwenye such mediocrity in English language ndiye amepewa dhamana ya Elimu. Tunakwenda wapi Watanzania?
 
Kwa hiyo mkuu asiyejua kingereza maanayake yeye ni kilaza? Kwa hiyo ukijua kuongea na kuandika kingereza tu unakuwa mwerevu kuliko wote
We miaka yote hiyo unafundisha kwa kingereza...umeandika kingereza...ushindwe kujielezea kwa kingereza...huyo hajui...mfate prof Asad uone moto
 
Mleta mada anadai kiingereza cha huyo professor ni kibovu au sub standard, mimi ndio nasema kwamba licha ya huo ubovu bado kajitahidi ukizingatia misingi yetu ya kitanzania ni mibovu kwenye kiingereza ni tofauti na kenya kwa mfano ambapo na wao kiswahili ni wabovu kwa sababu ya misingi mibovu ya Kiswahili.
To hell with lame excuses!! Je alikuwa ana defend vipi Thesis zake kwenye Msc na PhD? Nani walikuwa kwenye panel ya kupokea Thesis? Walitumia vigezo gani kumpitisha? Hawa ndiyo wale wanaoitwa marks za chupi.
 
Halafu imagine huyu mama mwenye such mediocrity in English language ndiye amepewa dhamana ya Elimu. Tunakwenda wapi Watanzania?
Kwani elimu ni kujua kiingereza? Unafikiri kujua Kiingereza ndiyo kuelimika mkuu? Unasumbuliwa na utumwa wa akili siku ukielimika utajitambua!
 
We miaka yote hiyo unafundisha kwa kingereza...umeandika kingereza...ushindwe kujielezea kwa kingereza...huyo hajui...mfate prof Asad uone moto
Wewe hapo unaongea kila siku Kiswahili lakini ukiandaliwa mtaharo unaweza ukazidiwa hata na darasa la saba aliyezoea kujieleza kwa Kiswahili mkuu!!
 
Kujifunza lugha kwa urahisi ni kwanza kuizungumza hiyo lugha, sisi Watz, nyerere alituharibu, yeye alikuwa anajua kiingereza na hakutaka watz wengi tujue kiingereza kwa sababu Kiingereza kilibeba elimu nyingi hivyo tungeerevuka, kwani kumtawala mjinga ni rahisi kuliko mwerevu lakini kumuongoza mwerevu ni rahisi kuliko mjinga, alijua hilo.

Hayo ni maoni yangu, niko huru kusahihishwa.
Wacha kumlaumu Nyerere kwa umburula wako na Ndalichako. Mbona kuna Watanzania wengi tu wamesoma mpaka Bachelors tu enzi za Nyerere lakini wanapiga English vizuri tu. Usimtetee huyu Ndalichako ni kilaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom