Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Since when mambo ya chumbani yakawa tangazo? Hao wanaofanya hivyo basi lazima waliruka stage flani ya ukuaji..
watu wanaotoa siri ya mapenzi tena kwa kuwataja wapenzi wao huwa tunawaita Malaya, siyo wapenzi. Mfano mi niseme Amyner anakata kiuno, or mara analia utadhani sijui nini, zitakuwa hazinitoshi labda, ama ni Malaya na simheshimu hata huyo mpenzi wangu.