Mbunge ama Diwani umemchagua
Tena kwa changamoto na vishawishi kibao vya kupewa rushwa ukapambana navyo ukawa na msimamo mmoja wa maslah ya Chama na wananchi ukachagua unaemtaka tena kwa mapenzi makubwa ukawashawishi na baadhi ya watu wengine wampigie kura
Mwisho wa siku unasikia mtu kilahisi kilahisi Mimi najiudhuru naunga mkono baada siku kadhaa huyo huyo anatangaza nia ya kugombea tena
Awamu iliyopita Ushagalamika sana
ili yeye ashinde kwa maslah ya Chama chako na wannchi kwa ujumla
Kisha ulud tena ukapige kura ukapige debe ili iweje ukiacha sababu ya usimamizi mbovu wa tume ya uchaguzi vitisho nk,,,
Hii nayo inachangia
Tena kwa changamoto na vishawishi kibao vya kupewa rushwa ukapambana navyo ukawa na msimamo mmoja wa maslah ya Chama na wananchi ukachagua unaemtaka tena kwa mapenzi makubwa ukawashawishi na baadhi ya watu wengine wampigie kura
Mwisho wa siku unasikia mtu kilahisi kilahisi Mimi najiudhuru naunga mkono baada siku kadhaa huyo huyo anatangaza nia ya kugombea tena
Awamu iliyopita Ushagalamika sana
ili yeye ashinde kwa maslah ya Chama chako na wannchi kwa ujumla
Kisha ulud tena ukapige kura ukapige debe ili iweje ukiacha sababu ya usimamizi mbovu wa tume ya uchaguzi vitisho nk,,,
Hii nayo inachangia