Nyuki baby
Member
- Feb 24, 2012
- 85
- 8
Jamani c nasikia mzee wetu meng* kaungua,sa itakuwaje huyu mdogo wetu aliyejiweka hapo?
huyo daimond mwenyewe mgonjwa! wema alishakutoka na wauzanyago wangap? Daimond atapona kweli?
Jamani c nasikia mzee wetu meng* kaungua,sa itakuwaje huyu mdogo wetu aliyejiweka hapo?
Diamond amepata vimilioni kadhaa havizidi 30,kwasababu Joketi ni mzuri lazima wazitumie wote ziishe ili historia iandikwe.
Demu mzuri asiyejiheshimu huendana na mwanaume mpuuzi aliyekamata hela za msimu.So CV zao zinaendana usijali kamanda.
Hawaendani hata kidogo. Jokate kajidhalilisha sana.
Diamond wanasema ana hela ana hela,hela yenyewe hela gani? Ndio kwa mara ya kwanza naona tajiri anatembelea opa khaaaaaaaa,ebu mcheck hasheem Vogue,ebu mcheck mwanaFA benz hao wamechemsha je huyu mwenye opa hataweza??
Hawaendani hata kidogo. Jokate kajidhalilisha sana.
Haya wakubwa ni swali 2 cyo ugomvi, manake naona wengne wanataka kunimeza hpa
Ni kweli kuuliza sio ujinga ILA WEWE NI MJINGA NA SWALI LAKO NI LA KIJINGA KAMA WEWE ULIVYO MJINGA.
....familia nyingi saivi zinaishi kupitia huyu Diamond.... Na haziko tayari mtu anayewawekea ugali mezani adhalilishwe hovyo..... So take care ...hawapendi boss wao adhalilishwe hovyohovyo.
No 2ache roho mbaya dogo ana mawe! Sema nn angetafuta dem ambeye si maharufu nazani ingekuwa poa sn kwake!