Jokate ni Tapeli tu,ameshindwa kuishi na Hashim Thabeet,amechemsha na mzee Mengi,Diamond ana pesa kama hawa wawili so atanyolewa tu,Jokate na Diamond muda si mrefu kitawaka tu yetu macho
Kuuliza cyo ujnga jaman ni kwli kwmb Diamond n Jokate are matching? Au hao mabnt wanajitoa ufahamu wamsaidie kula hzo pesa thn waondoke? Its realy unusual!
umeandika kama mwanafunzi wa vidudu, anyway tambua kuwa kipendaroho hula hata mabox
tupia CV za dadako au zako kama wewe ni demu niziangalie kama zinakidhi Diamond aambiwe akurukie wewe!
Diamond amepata vimilioni kadhaa havizidi 30,kwasababu Joketi ni mzuri lazima wazitumie wote ziishe ili historia iandikwe.
Demu mzuri asiyejiheshimu huendana na mwanaume mpuuzi aliyekamata hela za msimu.So CV zao zinaendana usijali kamanda.
Jokate ni Tapeli tu,ameshindwa kuishi na Hashim Thabeet,amechemsha na mzee Mengi,Diamond ana pesa kama hawa wawili so atanyolewa tu,Jokate na Diamond muda si mrefu kitawaka tu yetu macho