consigliori
JF-Expert Member
- Mar 29, 2010
- 392
- 89
Wadau, nikitembelea miji ya Arusha, Moshi na Zanzibar naona watu wanalipia cable TV na wanapata channel kibao za maana tu, hata English Premier league unaipata kiulaini kwa TZS10,000 tu. Niliwahi kusikia Dar maeneo ya City Centre ipo, je ni kweli? siye tunaoishi mbali na huko town, eg Kimara, Mbezi, Mbagala nk hatuwezi kupatiwa huduma hiyo?