Hivi CCTV Africa Haioni habari za Tanzania?

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
wana JF

Ni muda sasa tangu CCTV News ya china kuanzisha CCTV Africa ambayo makao makuu yake yapo Kenya,kituo hiki matangazo yake huanza saa mbili ya EA,Lakini chakushangaza tangu wameanza kurusha habari zao sijawahi ona wakitoa ama kutangaza habari za Tanzania,zaidi ya kutangaza habari za kenya,uganda,sudan,burundi,SA

Na kama utaona habari ya tanzania ujue ni kuhusu biashara tena upande wa madini.

nasema hivi kwa sababu kituo hiki ni cha KIMATAIFA kwa hiyo inawia rahisi sana kwa nchi husika kujitangaza,kama tunahitaji kulipia habari hizo basi ni vyema watanzania wanaotaka habari zifike mbari zaidi kuwasiliana na hawa watangazji wa kenya ili hata habari za tanzania tuwe tunaziona kupitia hii CCTV AFRIKA

nawasilisha
 
Nadhani kituo cha Afrika kiko Nairobi, na usitegemee Kenya watangaze mambo ya Tanzania!
 
Cnn nadhani mara ya mwisho kuionesha Tanzania ilikuwa ni ziara ya Bush, nchi hii hata kujipigia promo ni shida!!
 
Sio cctv tu hata mimi nishajiuliza hii nchi yetu imekosa nn?haitangazwi hata na tv channel za africa!
 
Hakuna habari zenye mashiko Tanzania. Bongo kwanza hakuna touching economic or sports news. Hizo za siasa magamba wanabana zisitangazwe
 
Tanzania Hawavumi lakini wamo.
Tanzania wa hapahapa tu
Tanzania Fagilia vya wageni
 
Mtamkubali waziri wa ulinzi wa Israel alipoilinganisha TANZANIA na TREPOLANIA....So watutangaze kwa lipi ata ktk mahojiano or interviews hua wanaoonekana ni viongozi wa KENYA....Anyway guys may be watatangaza hii '' TANZANIAN PRESDENT RESHUFFLES HIS CABINET AFTER MASSIVE SCANDAL OF CORRUPTION OF HIS TRUSTEE MINISTERS....wait n see
 
Back
Top Bottom