Elections 2010 Hivi Campaign Zimeshaanza?

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
 
simple answer to you: kila chama kina utaratibu wake

That is a an excellent answer!!!, Nikiboresha zaidi, bora tu huo utaratibu hauvunji sheria na taratibu zilizowekwa!!!. Na ukiona hicho chama hakijachukuliwa hatua zozote, basi hakijavunja kanuni wala taratibu!!!
 
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...

Ukienda Dodoma, Utakuta mabango kama takataka yamewekwa picha ya mgombea fulani wa chama fulani huku maandishi yakisema chaguo letu ni fulani wakitaja jina la huyo bwana!! Hizo picha zimewekwa tangia kulipofanyika mkutano mkuu wa hicho chama, lakini ajabu ni kwamba hayo mabango hayakutolewa baada ya hapo!!!
 
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...[/QUO
mbona ridhwani wakati akitafuta wadhamini wa baba yake hukusema
 
Ishu si mbona chama fulani. Suala la msingi sheria inasemaje? Tatizo nchini kwetu tunatabia mbaya sn ya kupindisha sheria. Leo hii CHADEMA wanapiga kampeni kabla ya muda kwa kisingizio CCM walifanya, ah huu ni upuuzi. Hebu tuwe tunasema ukweli bila ya kujali ni nani anahusika katika ukweli ule.
 
Ishu si mbona chama fulani. Suala la msingi sheria inasemaje? Tatizo nchini kwetu tunatabia mbaya sn ya kupindisha sheria. Leo hii CHADEMA wanapiga kampeni kabla ya muda kwa kisingizio CCM walifanya, ah huu ni upuuzi. Hebu tuwe tunasema ukweli bila ya kujali ni nani anahusika katika ukweli ule.

kumbuka ikiwa ni sheria hata jk anapigiwa debe kuwa ndiye raisi after okt 31 while inawezekana baada ya oct 31 presidaa akawa mtikila. Hilo huoni ila ni chadema tu? hayo mabango yaliyooteshwa kumpigia kampeni jk kuanzia dar mpaka dodoma hamyaoni ila mnamwona Slaa tu?

shame on you all!!!!!!!
 
jamani naomba muwe Educated sijamtaja mtu na nime uliza swali nijibiwe na si kupata Swali lingine lililo base katika uchama..
 
hahahahaha Jaman Speed uisha jamani, walianza NCCR 1995, wakaja CUF 2000, na sasa Chadema 2010, kitakuja kingine na kingine tena
 
hahahahaha Jaman Speed uisha jamani, walianza NCCR 1995, wakaja CUF 2000, na sasa Chadema 2010, kitakuja kingine na kingine tena
You are not of our own kind!!
Unakila dalili ya kuwa ni jiwe la baharini lisilofikiria kiu ya mtende jangwani!!!
 
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...

Kwa kifupi hazijaanza, ila ndo safari taratibu.

Huku ni kutafuta wadhaminmi kama unaona watu wanajinadi.

Otherwise campeni za kugombea nafasi mbalimbal;i zimeanza
 
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...

Vichwa vya Panzi bana utaona tu maandishi yao na reasoning yao

Sasa watu watakudhamini bila ya kuwaambia kwa nini unataka kugombea, Ulitaka aende Jangwani aweke kiti akae watu waje wamdhamini au

Come on Think out of the Box bana acha kuandika vitu kama mtoto wa Chekechea
 
Mtu anapokuwekea dhamani kubwa kama hii ni lazima ajue ni nini utafanya kulingana na dhamana anayokupa,so kwa Dr Slaa si kuwa ameanza kampeni mapema bali anawaambia wananchi ni kwanini wamdhamini.
Kwa watu wengine suala hili wanaliona ni kama kampeni lakini ukweli ni kuwa kiutaratibu kampeni hazijaanza na chombo pekee cha kutangaza mwanzo wa kampeni ni tume ya uchaguzi na si vinginevyo.
Katika hili tuwe wavumilivu kwa kuzingatia kuwa Dr Slaa ilibidi azunguke kama alivyofanya kwa kuwa ni mara yake ya kwanza kugombea hivyo kabla ya kapeni kuanza wananchi wengi wawe wamejua ni mtu wa namna gani tofauti na wagombea wengine ambao wapo miaka nenda rudi na hakuna jipya toka kwao,pia si mara ya kwanza kwa Chedema kufanya mikutano mikubwa kama inavyoonekana sasa bali ni jambo la kawaida tu(kwa wale waliokuwa wanafuatilia operation Sangara watakuwa wanajua)
 
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,

KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...

Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..

Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...


Nani atakudhamini kama hujamwambia malengo yako ya kutaka udhamini wake?
 
Vichwa vya Panzi bana utaona tu maandishi yao na reasoning yao

Sasa watu watakudhamini bila ya kuwaambia kwa nini unataka kugombea, Ulitaka aende Jangwani aweke kiti akae watu waje wamdhamini au

Come on Think out of the Box bana acha kuandika vitu kama mtoto wa Chekechea
walitaka aende jangwani peke yake au na watu wangapi wawili?...kumi?....mia?...what is the maximum, au walitaka ajifungie chumbani na kujaza majina feki kama alivyofanya ridwani.
 
Shall we review the intention of those who joined from april to date! But more close those who joined from june
 
jamani naomba muwe Educated sijamtaja mtu na nime uliza swali nijibiwe na si kupata Swali lingine lililo base katika uchama..

Inatakiwa watu waku ignore kwa kuwa unawaona wajinga .Hujataja mtu ila ulisikia nani anapiga kampeni ,mtu au chama kitajipigia kampeni bila kujitaja ?

Ok kujibu swali lako mimi naona wote hawajafanya makosa kwa kuwa mimi nikitaka kumdhamini mtu lazima anishawishi na ushawishi huo ndio unakuwa kama kampeni.Sasa kwa kuwa wameshapatawadhamini wanatulia mpaka kampeni zitakavyoanza rasmi.This is my take.

Otherwise kama ni makosa kulingana na sheria ya tume ya uchaguzi ,basi Kikwete na Slaa wainguliwe? ila mind you Slaa hajachukua fomu ya kukombea urais so sijuhi atahukumiwa vp?labda huyo mkwere anayetaja mafanikio ya serikali yake nadhami ndio anaendelea na kampeni.

Nadhani utakuwa umelithika new member kwa kazi maalum humu JF ,karibu ila sijuhi kwa nini hamtishi kwa hoja ni pumba tu.
 
wafuasi wa malaria sugu hao,hawtaki kushirikisha hata theruthi ya ubongo wao,mbona mwaka huu watajibeba na huyo mkwere wao
 
Back
Top Bottom