silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA WADHAMINI WA KUMSUPORT KUGOMBEA URAISI,,
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...
KITU KINACHONIPA hofu ni kwamba mbona sijasikia Vyama vingine vikifanya hivi? Maana kuna NCCR mageuzi, Kuna CUF, kuna vyama vingine vitakavyo shiriki katika kinyang'anyiro cha Uraisi, Ubunge na udiwani, lakini sijasikia na wao wanatafuta Wadhamini...
Halaf katika kutafuta Udhamini huko Mgombea Huyo anatangaza Sera kabisaaa,, huku akijitapa akiwa Raisi atarekebisha Kashfa zote zilizoko Sasa,, Ufisadi, Rushwa na kuwawekea Watanzania Mazingira Mazuri ya kufanya vitu kwa Uhuru kama Nchi huru..
Swali langu ni hili.. Kuna tofauti gani kati ya Kapmeni na Kuomda udhamini,,
na Unapofanya kampaign unatangaza nini ili upate kura, wakati unapo omba udhamini unatakiwa ufanye nini,, Please nisaidieni hapa pananipa utaata...