tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,078
kuna jamaa angu ana degree ila hana cheo chochote, aliniambia kila mwezi ni 850,000/= kabla ya makato, na pia katikati ya mwezi wanapewa ration allowance ya 300,000/= ambayo haina makato yoyote.inspekta ambae hana degree analipwa 800,000/= kabla ya makato.