Hivi Ajira zinatoka lini!???

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,580
17,683
Habari za asubuhi wana jf..

kuna swali moja kama kuna mtu anaweza kunijibu tafadhali naomba ufafanuzi..

mwaka jana Mwanangu wa Kwanza alimalza chuo..
Ila naona Yuko Nyumbani hana kazi wala ajira na naona serkali imesitisha ajira na tukijaribu kuuliza hapa na pale jibu ni kwamba watatoa tu ajira wasubiri..

Baadae nikamsikia Rais Magufuli akitangaza kustisha ajira ili kupisha uchunguzi wa wafanyakazi hewa na alitoa miezi miwili zoezi likamilike na kutoa ajira mpya mbona siku zinapiata na hatuoni hzo ajira tatizo ni ninini?
na naona mwanangu anakuwa mnyonge sana hapa nyumbani..
 
Pale viwanda vitakavyotengenezwa vyote, hili la ajira sio kipaumbele cha serikali Bali ni kuhamia Dodoma.
 
Habari za asubuhi wana jf..kuna swali moja kama kuna mtu anaweza kunijibu tafadhali naomba ufafanuzi.. ilikuwa mwaka jana ambapo tulimalza shule kwa furaha tukiamini tunaenda kulitumikia taifa kwa yote tuliofundishwa tukiamin kuanzia mwezi wa kumi tutapata kuajiriwa lkini haikuwa hivo.. tukapewa matumaini kwamba pengine baada ya kuteuliwa baraza la mawaziri tutapata kupewa post tukalitumikie taifa ila haikuwa hivyo.... ilipopita tukaambiwa kwamba baada ya bunge la bajeti tutapewa ufafanuzi na kupewa post.....ila baadae kwa mapenzi mema ya nchi hiii mheshimiwa raisi magufuli alitangaza kustisha ajira ili kupisha uchunguzi wa wafanyakazi hewa naalitoa miezi miwili zoezi likamilike na kutoa ajira mpya mbona siku zinapiata na hatuoni hzo ajira tatizo ni ninini?
Hata ukijiingiza kwenye kilimo bado utakuwa unalitumikia taifa, fikra potofu za kukomalia kuajiriwa ndiyo kulitumikia taifa
 
kama unashuguli ya kufanya ni bora uwekeze nguvu huko tu ni bora ajira ikusubilie wewe sio wewe uisubirie ajira na huku ukivuta subira huku ukiwa na hope one day mambo yatakuwa sawa & never give up!
 
Ni uvumilivu tuuu, nafasi zitatoka coz short list ya majina bado ila nimesikia kuajiriwa kwenye novemba mtaajiriwa.......Daah vumiliya tuu wng hata mm nilivumilia sana hadi mwaka jana ndiyo niliajiriwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom