Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

Kuna Mzee mmoja wa kichaga kule Machame Nkuu,Mwalimu alikuwa anaitwa Furanaeli Nasua Shoo nasikia alichangia baadhi ya maneno... Mwaweza kunisahihisha...
 
Kwani wimbo wa taifa umetungwa mwaka gani jamani?
sijasom history mie,lakini kama kafariki 1905 inamaana wimbo wa taifa umepatikana miaka ya 1800?

Huu ndio orijino aloutunga huyu bwana:

Nkosi sikelel' iAfrika
Maluphakanyisw' uphondo lwayo,
Yizwa imithandazo yethu,
Nkosi sikelela, thina lusapho lwayo.

Sisi tukauchakachua kuwa hivi:

1. Mungu Ibariki Afrika, (God Bless Africa)
Wabariki Viongozi Wake, (bless her leaders)
Hekima, Umoja na Amani (wisdom, unity and peace)
Hizi ni Ngao Zetu,(these are our shields)
Afrika na Watu Wake. (Africa and her people)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Tubariki, Watoto wa Afrika,(Bless, Children of Africa)

2. Mungu Ibariki Tanzania, (God Bless Tanzania)
Dumisha Uhuru na Umoja,(sustain independence and unity)
Wake kwa Waume na Watoto,(Women, Men and Children)
Mungu, Ibariki, (God, Bless,)
Tanzania na Watu Wake (Tanzania and her people)
Ibariki, Tanzania, (Bless,Tanzania)
Ibariki, Tanzania, (Bless,Tanzania)
Tubariki, Watoto wa Tanzania (Bless, Children of Tanzania)
 
ingawa kumjua aliyetohoa maneno ni vigumu, lakini kama nilivyosema hapo juu, enoch aliandika mashairi machache sana kama ubeti mmoja hivi. Samuel aliongeza beti nyingi tu za kutosha na nyimbo mbalimbali za taifa zilijichagulia beti zao toka hapo. Nina hard copy ya wimbo kama ulivyoandikwa na sontonga and then version ya Mqayi. Maneno karibu yote ya wimbo wetu yametoka humo. Nitauweka hapa one day nikiwa na nafasi. Ila aliyechagua maneno na kufanya finalization simjui.

kweli huu wimbo umechakachuliwa sana kwa sababu ya uzuri wake kutoka nkosi sikeleeli mpaka Mungu ibariki,ni kama wimbo wa malaika ulivyochakachuliwa nyimbo hizi zimekuwa kama universal anthem sio rahisi kupata data zake kamili
 
Mimi bado sijaelewaelewa, wimbo wa 1800 (wakati huo nadhani hata Tanganyika haikuwepo), hii ina maana wakati tunapata uhuru 1961, Tulikuwa hatuna wimbo wa taifa! Maana Tanzania imeanzishwa 1964 na hapo ndipo tungeweza kuweka maneno ya Mungu Ibariki Tanzania
Ninaomba/Tunaomba anayefahamu chochote kuhusu:
1. Wimbo gani ulikuwa au uliimbwa wakati bendera ya Tanganyika huru inapandishwa?

2. Wimbo wetu wa Taifa wa Tanzania, ulitungwa/ulichakachuliwa lini na nani?

3. Ulianza kuimbwa/kupigwa lini?
Ni hayo tu kwa sasa!
 
Mimi bado sijaelewaelewa, wimbo wa 1800 (wakati huo nadhani hata Tanganyika haikuwepo), hii ina maana wakati tunapata uhuru 1961, Tulikuwa hatuna wimbo wa taifa! Maana Tanzania imeanzishwa 1964 na hapo ndipo tungeweza kuweka maneno ya Mungu Ibariki Tanzania
Ninaomba/Tunaomba anayefahamu chochote kuhusu:
1. Wimbo gani ulikuwa au uliimbwa wakati bendera ya Tanganyika huru inapandishwa?
2. Wimbo wetu wa Taifa wa Tanzania, ulitungwa/ulichakachuliwa lini na nani?
3. Ulianza kuimbwa/kupigwa lini?
Ni hayo tu kwa sasa!

Ni huu huu isipokuwa palipo na TANZANIA palikuwa TANGANYIKA...TWICE chakachuliwad
 
Huyo Enock sentonga hapo juu ni mtu wa wapi mbona ditails chache?

Enoch Mankayi Sontonga (ca. 1873 - 18 April 1905) was the composer of Nkosi Sikelel' iAfrika (God Bless Africa), which has been part of the South African national anthem since 1994. It was also the official African National Congress (ANC) anthem since 1925 and is still the national anthem of Tanzania and Zambia. It was also sung in Zimbabwe and Namibia for many years.

Sontonga, a Xhosa, was born in the city of Uitenhage in the Eastern Cape. He trained as a teacher at the Lovedale Institution and subsequently attended the Methodist Mission school in Nancefield, near Johannesburg. He was also a choirmaster and a photographer.

The first verse and chorus of Nkosi Sikelel' iAfrika was composed in 1897 and first sung in public in 1899 at the ordination of Reverend Boweni, a Methodist minister. Later the Xhosa poet Samuel Mqhayi wrote a further seven verses.

The song was sung throughout South Africa by several choirs and it quickly became popular. On 8 January 1912, at the first meeting of the South African Native National Congress (the forerunner of the African National Congress), it was sung after the closing prayer. The ANC adopted it as its official closing anthem in 1925.

For many years the site of the grave of Sontonga was unknown, but it was finally located in the "Native Christian" section of the Braamfontein cemetery in the early 1990s; one of the reasons why his grave could not be found is that it was listed under "Enoch" and not "Sontonga".

On 24 September 1996, the grave of Sontonga was declared a national monument and a memorial on the site was unveiled by President Nelson Mandela. At the same ceremony the South African Order of Meritorious Service (Gold) was bestowed on Enoch Sontonga posthumously.

He was voted 65th in the Top 100 Great South Africans in 2004.
 
Wimbo wa taifa ulitolewa kutoka katika kitabu cha kanisa katoliki kiitwacho:

''CHUO KIDOGO CHA SALA NA NYIMBO'' ukurasa wa 86.

Kwa faida zaidi dua ya kuliombea bunge upo katika kitabu hicho ukurasa wa 12.

In short watunzi ni wana peramiho.
 
Wimbo wa taifa ulitolewa kutoka katika kitabu cha kanisa katoliki kiitwacho:

''CHUO KIDOGO CHA SALA NA NYIMBO'' ukurasa wa 86.

Kwa faida zaidi dua ya kuliombea bunge upo katika kitabu hicho ukurasa wa 12.

In short watunzi ni wana peramiho.

Una uhakika na hayo unayosema? Au ndio yale yale ya kufikiria matatizo ya ndani ya nyumba yanaletwa na mchawi yuleeee huko nchi za mbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom