HISTORIA: Safari ya Anna Makinda kutoka Naibu Spika hadi Spika wa JMT

When news spread that the former AG Chenge (famously known as Mzee wa Vijisenti) was going to run for Speaker hence challenging Mzee S. Sitta, everyone was left in awe. The matter becomes worse when Chenge publicly criticized Sitta on how bad he handled the previous Bunge. To be honest with you nobody was quite sure of Chenge’s intentions up until the very last minute when CCM’s CC shortlisted three candidates to run for Speaker. Astonishingly, they were all female very old ones if you like. For a layperson like most of us would say Oh thanks God for your blessings that they both (Chenge and Sitta) lost and majority will be sympathetic to Mheshimiwa Sitta. It is crystal clear that many people view Samuel Sitta as a hero since during his tenure he helped quite a lot of hojas including binafsi from ruling and opposition parties to be discussed. It‘s a pity that he had to go but he will be forever remembered that he chaired one of the liveliest Bunge since independence.
Having said that, the empirical question remains; was getting rid of S. Sitta a long term agenda for CCM? Probably YES given the weird circumstances we’ve witnessed recently. Was CCM keen on promoting Mama Ana Makinda? I would say NO. Why? Somebody will ask. In my opinion I think CCM wanted to crown the Speaker to Mr Chenge (remember TAKUKURU and stuff). However they couldn’t resist the resentment from Wananchi because Chenge is way to dirty and any backing from CCM will eventually ruin the image of already damaged party.
On the other hand, SItta is no longer a top priority in the eyes of CC members and therefore it was easy to make him a scapegoat. So what do you do when your plans are in a fix? Look for a cheap alternative that’s right and that’s how Ana Makinda came into play. Well, it’s not that I hate the Mama but many people understand her limitations (Short tempered, arrogant.... to mention just a few). Above all does she have the guts to fight against Ufisadi the cancer of this great nation? I doubt that. Again lets give her the chance and may be she will prove us wrong but until then I would bet that this has been a really bad move for CCM and it is a disaster for Wapenda Maendeleo nchini and CCM will forever regret this madness.
Jamvi kwenu-
 
AMEEEEN! Na kama ni moto ye akifika motoni atachcomwa na moto wa gesi wenzie wakichomwa na wa kuni....:rip:
 
For once, Mafisadi wa CCM angalau wameonyesha kuwa wana fine sense of aesthetic appeal. Bora fisadi Anna Makinda kuliko fisadi Anna Abdallah mwenye sura kaa ng'ombe. They would have done even better in this regard had they rooted for fisadi Anna Kilango for speaker...
 
MGOMBEA wa uspika wa Bunge la Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anne Makinda (61), amesema, akichaguliwa, Bunge litakuwa imara na lenye kasi kuliko lililopita.

Makinda amewaeleza waandishi wa habari mjini Dodoma kuwa, ana uzoefu wa kuliongoza Bunge na ameiva kushika madaraka hayo.

Ametoa kauli hizo baada ya kushinda katika kura za wabunge wa CCM waliopendekezwa kugombea nafasi hiyo.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM jana ilimteua Makinda, Anna Abdallah na Kate Kamba kuwania kuteuliwa kugombea uspika kwa tiketi ya CCM.

Mbunge huyo wa Njombe Kusini ameshinda kwa kupata kura 211, Kate kamba alipata kura 15, na Anna Abdallah alipata kura 14.

Makinda atachuana na mgombea wa Chadema anayewania uspika wa Bunge, Mabere Marando.

Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amesema, chama hicho kinaamini kuwa, mgombea wake atashinda.

Makinda amesema, amewahi kushika nyadhifa mbalimbali katika Bunge la Tanzania hadi kuwa Naibu Spika.

Amesema, wakati akiwa Naibu Spika wa Bunge alipata uzoefu wa kuliongoza Bunge kwa kutembelea mabunge mbalimbali duniani na kuona uendeshaji wake.

Makinda amesema, kambi ya upinzani isitegemee kuwa kutakuwa na mteremko katika utoaji wa maamuzi, yatatolewa kwa kufuata taratibu na kanuni za Bunge.

Amesema, wabunge wote wanapaswa kazifahamu kanuni za Bunge ili wasije kulalamika unapotolewa uamuzi kwa kufuata kanuni hizo.

Makinda amesema, wabunge hao wakizifahamu kanuni hizo mapema wataweza kuwa makini wanapochangia mijadala na pia kama kuna kanuni ambayo haifai kwa wakati huu basi wawaze kuibadili mapema.

moz-screenshot.png
moz-screenshot-1.png
NDESA_MAKI.jpg
 
Kama kweli ccm mmeweka mbele maslahi ya nchi na kama mnataka bunge liwe
chombo huru kabisa kama inavyotakiwa basi ni lazima mumtose anna makinda.
Ukaribu wake na jk utamfanya baada ya kulitumikia bunge ataligeuza bunge kuwa ni rubber stamp ya jk. Bunge inabidi kiwe chombo huru chenye mamlaka kamili ya oversight government ambayo ndiyo kazi kuu ya bunge. Huyu mama atalifanya bunge kuwa rubber stamp ya jk badala ya kuwa taasisi huru inayosimamia serikali kwa niaba ya wananchi. Kwahiyo kama wabunge wa ccm mnaipenda nchi yenu kuliko ccm na kama kweli mnataka bunge kiwe chombo huru cha kuikosoa serikali inapokosea basi huyu mama aliyekuwa handpicked na jk hawafai kwani badala ya kupigania maslahi ya nchi, atapigania maslahi ya serikali iliyomweka.
 
Yote haya nanamwisho Mkuu,,

Usifikiri hata wana CCM wanafurahia baadhi ya mambo yanayofanywa na serekali yao,,,,,kanuni haziwezi tumika kuwanyima wapigania HAKI uhuru wa kutoa dukuduku zao,,,,na ukumbuke wapiga kura wa leo ni wa elewa si wakumbuka hata hoja Ya mafisadi walipoitolea nje Wapiganaji waliipeleka Kwenye mahakama ya UMMA - MWEMBEYANGA??

Na Makinda akifanya huo ujinga CCM itambue 2015 itakula kwake
 
bravo mama mkubwa, sote tuko nyuma yako, tujendee nchi yetu na heshima ya bunge letu iliyochakachuliwa na kigeugeu mfa maji 6! usiwe vuguvugu wala baridi uwe moto, onyesha msimamo daiam kama tulivyokuzoea. naamini unaweza mara 100 zaidi ya 6, kila la heri
 
Wabunge kumchagua Anna Makinda ni kuchagua kuimarisha mihimli ya ufisadi!!!!!!!!!!!!! Yeye ni bona fide memba wa kambi ya Rostam, EL, +... waangamizi wa taifa hili! Kumbukeni vita ya EPA, Kagoda, etc....................... Wabunge msifanye kosa litakalogharimu taifa hili baraka za Mwenyezi Mungu!!!!!!!!!!!!!!
 
Makinda amesema, kambi ya upinzani isitegemee kuwa kutakuwa na mteremko katika utoaji wa maamuzi, yatatolewa kwa kufuata taratibu na kanuni za Bunge.

Amesema, wabunge wote wanapaswa kazifahamu kanuni za Bunge ili wasije kulalamika unapotolewa uamuzi kwa kufuata kanuni hizo.


Huyu hana hata hekima wala busara, kazi ya spika si tu kuangalia sheria na kanuni za bunge..lazima uchukue daraja la juu kuliko hilo. It is the matter how the society will benefit na mijadala husika. Kama ni kufuata sheri na kanuni we could even employ a robot to do that!

Sasa hapa anaandaa defense mechanism mapema kabisa na inaonekana amepania kuwa crush na kuwatrash wabunge wa upinzani na wengine wote watakaoonekana wanataka kuibua uozo wa serikali ya CCM.
 
Kumchagua Anna Makinda ni kuchagua kuimarisha ufisadi------kuuza Tanzania!!!!!!!!!!! Kwani yeye ni wa kambi gani ndani ya sisiemu???????????????????????
 
Lile joho la spika si la kiume na la pesa nyingi sana?

Nafikiri itabidi tumvishe lile lile. Wa-Tanzania tushachoka hatuna pesa sasa za kuagiza joho lingene lenye mapambo ya 'vito vya dhahabu' kutoka kwa dezaina wa London:) teh teh..Duh watatufilisi walahi hawa watwana!
 
Mimi nigemchagua Mabere Marando kurudisha kismati ya mother Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu hana hata hekima wala busara, kazi ya spika si tu kuangalia sheria na kanuni za bunge..lazima uchukue daraja la juu kuliko hilo. It is the matter how the society will benefit na mijadala husika. Kama ni kufuata sheri na kanuni we could even employ a robot to do that!

Sasa hapa anaandaa defense mechanism mapema kabisa na inaonekana amepania kuwa crush na kuwatrash wabunge wa upinzani na wengine wote watakaoonekana wanataka kuibua uozo wa serikali ya CCM.

hata 6 alikuwa kiafanya hayo unayosema matokeo yake akaonekana kigeugeu machoni pa kila mtu, na sasa amevuna alichopanda. sheria na kanuni zimewekwa kuweka a predictable work environment pale bungeni. kinyume chake utafanya bunge kuwa sehemu amabayo hata mtu akinyimwa unyumba huko alikotoka hasira zake anahamishea bungeni. itakuwa chaos. dont undermine sheria, kanuni na taratibu kwa sababu tu ya myazamo wako binafsi kumwelekea mama wa watu
 
hata 6 alikuwa kiafanya hayo unayosema matokeo yake akaonekana kigeugeu machoni pa kila mtu, na sasa amevuna alichopanda. sheria na kanuni zimewekwa kuweka a predictable work environment pale bungeni. kinyume chake utafanya bunge kuwa sehemu amabayo hata mtu akinyimwa unyumba huko alikotoka hasira zake anahamishea bungeni. itakuwa chaos. dont undermine sheria, kanuni na taratibu kwa sababu tu ya myazamo wako binafsi kumwelekea mama wa watu

Soma tena nilichosema, usikurupuke kujibu kabla hujaelewa.

Sijasema sheria na kanuni ziwekwe pembeni, suala linalohitajika na muhimu na ni lengo kuu ni maendeleo ya wananchi, hilo ndio la muhimu..lengo sio kuwa na bunge, wabunge, serikali, vyama wala spika.
 
Wapinzani moto ni ule ule mpaka huyo mama aikimbie kiti!! Akiamua kuwabana wapiganaji MWEMBEYANGA kama kawa!!!
 
Nimesoma tena na tena Katiba ya Jamhuri ya Muungano kwa kutaka kufahamu KAZI YA SPIKA and below is what is says! BASI

84.-(1) Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na Wabunge kutoka miongoni mwa watu ambao ni Wabunge au wenye sifa za kuwa Wabunge; atakuwa ndiye kiongozi wa Bunge na atawakilisha Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.
 
Back
Top Bottom