mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 1,220
- 1,267
Wengi hawajui ila historia ina nafasi kubwa maishani.
Wanaoitunza hufahamu mengi hata kabla ya tukio hivyo kupelekea kupatia kiasi kwenye jambo husika
Nisiwachoshe iko hivi;
Sio lazima iwe hivyo
Wanaoitunza hufahamu mengi hata kabla ya tukio hivyo kupelekea kupatia kiasi kwenye jambo husika
Nisiwachoshe iko hivi;
- 1986 fainali Argentina na Ujerumani, Argentina akabeba ndoo
- Miaka minne baadae 1990 fainali Argentina na Ujerumani, Ujerumani akabeba ndoo
- Sasa 2018 Ufaransa na Croatia, Ufaransa akabeba
- Na sasa, Itajirudia Croatia na Ufaransa na croatia itabeba
Sio lazima iwe hivyo