Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,085
- 8,462
.
Sikia Chief dunia haipo unavowazaHuzuni, kuto kukubalika je wajua maana sahii ya damu/nyota ya kunguni
Bahati mbaya kutengwa kujihisi mwenye mikosi
Hasira kutojiona wathamani / umuhimu kwa Shetani, mungu au binadamu auuu hata wanyama na kingine chochote
Ninauchukia ulimwengu huu na hata ule ujao
I think this will be my last thread
Haya mafuta yanapatikana wapi ustaadhi?Sikia Chief dunia haipo unavowaza
Usinipuuze:
Tafuta mafuta yanaitwa Bint Sudan..
Weka kwenye maji uwe unaoga na mengine uwe unajipaka siku 7
Lete mrejesho kuwa una damu ya kunguni.
Maduka ya Asili..Haya mafuta yanapatikana wapi ustaadhi?
Maduka ya Asili..
Hayo ni maandishi tu,na yana utata, naamini kama ni yeye anachangamoto atakua ameziwasilisha kwa ndugu zake au rafiki zake wa karibu.Huyu Jamaa anaendeleaje aisee! Naona mara ya mwisho kaonekana jana dakika 10 baada ya kupost hii mada.