Hisia za Wanawake za kupenda ziko karibu sana, watu wengine hatuhitaji kupendwa

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,366
17,364
Binafsi niseme, kitu nisichohitaji ni mwanamke anipende, sitaki kupendwa na mwanamke kabisa (labda mke wangu nitakapokuja kuamua kuoa). Lakini ajabu ni kwamba nimekua napendwa tu hovyo hovyo na wanawake.

Wanawake ni watu wanao-catch up feelings mapema sana. Mwanamke unaweza kumfanyia kakitu ka ajabu tu tayari amekupenda.

Lakini hii ya wanawake zetu kupenda watu hovyo inatokana pia na umasikini wetu. Kutokana na umasikini wetu tunafanya vitu vidogo vidogo kama ni upendo.

Mfano, unakutana na mwanamke anatumia tecno, unajibana unamnunulia Samsung ama Iphone basi yeye hutafsiri kua unampenda kumbe hilo ni jambo la kawaida kabisa kumhudumia mwanamke wako.

Kwa Wanawake, mwanaume ukiwa gentleman tu kidogo tayari ameshakupenda. Hili jambo kwa kweli mimi silipendi kwa sababu mwanamke akishakupenda tu anaanza kua msumbufu na kua kero, atataka afuatilie mienendo yako, apige simu muda wowote na usipopokea ni malalamiko, akituma text anataka ujibu kwa haraka na kadhalika na hapo ndio mimi nakwazika zaidi.

Ngoja nilale asubuhi nitamalizia hii mada.
 
Huwezi zuia kupendwa wacha nature ifanye kazi yake na ikitokea ukapata mtakaelewana nae mtakwenda kama tren inavyokanyaga reli
 
Huwezi zuia kupendwa wacha nature ifanye kazi yake na ikitokea ukapata mtakaelewana nae mtakwenda kama tren inavyokanyaga reli
Heb nipe mbinu mdogo angu mbona mi sishobokewi hata kidogo...Au kwakua sina hela kitu kinachonifanya nisiwe availlable mahala pengi muda mwingi???
 
Heb nipe mbinu mdogo angu mbona mi sishobokewi hata kidogo...Au kwakua sina hela kitu kinachonifanya nisiwe availlable mahala pengi muda mwingi???
Ukweli mchungu ni huu kuna wengine wanashobokewa kwasababu ya muonekano wao!,Sasa hivi viendane na kujipenda kama hujipendi ni ngumu hata wewe kupendwa!.

Ogopa mtu anakushobokea kwa mali that means mengine anakuvumilia tu..😂
Money used to buy things but love it's for favor and free.
 
Ukweli mchungu ni huu kuna wengine wanashobokewa kwasababu ya muonekano wao!,Sasa hivi viendane na kujipenda kama hujipendi ni ngumu hata wewe kupendwa!.

Ogopa mtu anakushobokea kwa mali that means mengine anakuvumilia tu..😂
Money used to buy things but love it's for favor and free.
Basi nshajua mzizi wa tatizo.....sina muda na mimi yan kujiweka kimvuto mvuto hapo nilishashindwaga kufaulu...
Acha nipambane na hali yangu kama vp 😁
 
Binafsi niseme, kitu nisichohitaji ni mwanamke anipende, sitaki kupendwa na mwanamke kabisa (labda mke wangu nitakapokuja kuamua kuoa). Lakini ajabu ni kwamba nimekua napendwa tu hovyo hovyo na wanawake.

Wanawake ni watu wanao-catch up feelings mapema sana. Mwanamke unaweza kumfanyia kakitu ka ajabu tu tayari amekupenda.

Lakini hii ya wanawake zetu kupenda watu hovyo inatokana pia na umasikini wetu. Kutokana na umasikini wetu tunafanya vitu vidogo vidogo kama ni upendo.

Mfano, unakutana na mwanamke anatumia tecno, unajibana unamnunulia Samsung ama Iphone basi yeye hutafsiri kua unampenda kumbe hilo ni jambo la kawaida kabisa kumhudumia mwanamke wako.

Kwa Wanawake, mwanaume ukiwa gentleman tu kidogo tayari ameshakupenda. Hili jambo kwa kweli mimi silipendi kwa sababu mwanamke akishakupenda tu anaanza kua msumbufu na kua kero, atataka afuatilie mienendo yako, apige simu muda wowote na usipopokea ni malalamiko, akituma text anataka ujibu kwa haraka na kadhalika na hapo ndio mimi nakwazika zaidi.

Ngoja nilale asubuhi nitamalizia hii mada.
Hiyo dp yako sasa...

1658493682354.png

Naungana na wale wanaosema ulipie tangazo. Naona uko hapa kikazi zaidi.
 
Back
Top Bottom