MATANGO MAKUBWA
Member
- Oct 7, 2012
- 39
- 5
habari hizi ziwafikie akina Wasira, Nape, na Lukuvi....... Habari ndiyo iyo Dodoma hapatoshi......
Wazee wetu walisema, "Haki ya mtu hucheleweshwa lakini haipotei hta siku moja" Hongera Lema, Hongera CDM, hongera Arusha, Hongera Tanzania,,.....
Majaji wa aina hii walikuwa wapi wakati hukumu ya kwanza inatolewa kisiasa?
Wazee wetu walisema, "Haki ya mtu hucheleweshwa lakini haipotei hta siku moja" Hongera Lema, Hongera CDM, hongera Arusha, Hongera Tanzania,,.....
Majaji wa aina hii walikuwa wapi wakati hukumu ya kwanza inatolewa kisiasa?