rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Mkuu Mashauri naomba unikumbushe hiyo shs 435 IPO ilikuwa lini angalau tuweze kutafuta growth rate yake na pia wametoa dividend mara ngapi kila baada ya muda gani na amount, compare to inflation(15%-22%) then niweze vilevile ni compare na other long term investment zilizopo na hasa tukichukulia cost of capital kwa sasa ni 28%-36% tafadhali wenye hizo data naomba msaada wenu...
UPDATE:
Mkuu mwaka huu TWIGA wametoa gawio la TShs. 143 kwa kila share.