Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
duh... sawa mkuu nimekusomaNilisema hapahapa JF katika thread ya Charles Kimei kuwalipia wafanyakazi wa CRDB nauli na malazi kutoka mikoani waje Dar kwa shughuli extravagant za kidini.
You don't need to be a Joshua to see these things.
Just as you don't need to be a Joshua to know that around Eid folks around our isles tend to overload motor vessels and risk a yearly trend of marine "accidents".
Sorry sikuona hiyo comment
My bad!!
PS: angalia wazenji wasikushukie na albadir tu mkuu, hawana dogo