Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
2PAC alikufa na muziki wake wa 'kufokafoka',and so did the 'NOTORIOUS B.I.G'.the current hiphop is a JUST A COMMERCIAL-HIPHOP!it has lost its 'original-hiphop test'.ladha ya hiphop naiona kwa THE COMMON,wengine wote wanayumbishwa na soko la muziki la dunia!mara wabane pua mara wafanye hiphop mara ragga,WAMECHANGANYIKIWA!
BONGO!?wapi bwana!wasanii wakubwa wanadiriki kutamka 'HIPHOP BONGO?'bongo hiphop 'ilishafanyiwa matanga'!hiphop aliimba SIR NATURE kwenye allbum yenye wimbo wa 'HILI GAME TOUGH'akimshirikisha T.I.D,baada ya hapo akajihusisha kimapenzi na mwigizaji maarufu-AKALEWA,AKAUZA HIPHOP.(TUKUMBUKE ZAMANI HAPA:david bekham alianza kugombana na ferguson baada ya kuanza upenzi na mwanamuziki posh,pale ndipo bekham aliweka rehani uwezo wake wa soka.from there,bekham alianza kupoteza 'test' yake.na kwakweli man u imechukua vikombe muhimu baada ya bekhs kuondoka).NATURE ALIUZA HIPHOP baada ya kulewa kwa sinta,akatoa album ya mipasho,INANIUMA SANA.
HIPHOP IS DEAD!HIPHOP IS NO MORE!mfano rahisi ni album zinazotoka sasa hivi bongo,au nyimbo zinazopigwa na kuonyeshwa kwenye media,NO HIPHOP!NOT AT ALL.angalia bss,kama wewe ni mwanahiphop 'utadondosha chozi'
NINAKULILIA HIPHOP!NAKULILIA SANA!
JAMANI NANI AIRUDISHE HIPHOP?
WITO WANGU:Wasanii wa HIPHOP MSIYUMBISHWE NA BONGO-FLEVA!
BONGO!?wapi bwana!wasanii wakubwa wanadiriki kutamka 'HIPHOP BONGO?'bongo hiphop 'ilishafanyiwa matanga'!hiphop aliimba SIR NATURE kwenye allbum yenye wimbo wa 'HILI GAME TOUGH'akimshirikisha T.I.D,baada ya hapo akajihusisha kimapenzi na mwigizaji maarufu-AKALEWA,AKAUZA HIPHOP.(TUKUMBUKE ZAMANI HAPA:david bekham alianza kugombana na ferguson baada ya kuanza upenzi na mwanamuziki posh,pale ndipo bekham aliweka rehani uwezo wake wa soka.from there,bekham alianza kupoteza 'test' yake.na kwakweli man u imechukua vikombe muhimu baada ya bekhs kuondoka).NATURE ALIUZA HIPHOP baada ya kulewa kwa sinta,akatoa album ya mipasho,INANIUMA SANA.
HIPHOP IS DEAD!HIPHOP IS NO MORE!mfano rahisi ni album zinazotoka sasa hivi bongo,au nyimbo zinazopigwa na kuonyeshwa kwenye media,NO HIPHOP!NOT AT ALL.angalia bss,kama wewe ni mwanahiphop 'utadondosha chozi'
NINAKULILIA HIPHOP!NAKULILIA SANA!
JAMANI NANI AIRUDISHE HIPHOP?
WITO WANGU:Wasanii wa HIPHOP MSIYUMBISHWE NA BONGO-FLEVA!